Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Wachezaji wenu wa liverpool ndio wamefanya England itolewe
mie nafikiri wa Man United sababu wa LFC ndio alifunga kipindi kile kuibakisha timu then akatoa Pande la ka Penalt ila Smalling ndio dk zile kampasia mwamuzi dk za mwisho za kujidai tehteh Lawama tu tunarushiana, Ila kwa msemo wa Rubaman itakuwa ni Spurs pamoja na Captain Rooney so Roy Hodgson na Gary neville na Captain wako Rooney!
 
Mie kwa maoni yangu huyu Hodgson ndiyo kaigharimu UK ushindi. Upangaji wake wa timu hasa safu ya washambuliaji ulikuwa hovyo sana. Rooney hakustahili kuwemo bali Vardy lakini kwa mapenzi yake makubwa kwa Rooney yalimfanya apange timu hovyo hovyo matokeo yake ndiyo hayo.

Spurs imeigharimu England!
 
Hamna timu nyie
 
Sana aisee wako nyuma lakini wanacheza kwa mapozi utadhani wako mbele. Meneja wao Roy Hodgson dakika chache zilizopita katangaza kujiuzulu.
[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81]
 
Reactions: BAK
Hivi wale washabiki wa england kama hukuwepo mwaka 1966

Uwa unashangilia england kwa sababu zipi!!?

Maana sja wahi kuona kitu chchte cha maana wamewahi fanya duniani apa
angalau Taifa stars nimeiona kubeba Kombe
 
God Save the Queen! labda ikibadilishwa Save England yote Dua ndio zitaanza kusikilizwa.
 

Attachments

  • image.jpg
    30.1 KB · Views: 22
angalau Taifa stars nimeiona kubeba Kombe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Eeeh at least challenge cup anachukua

Ila wenzangu wa kwa malkia sjui shda yao nn hasa mpaka wana itafuta tabu ilipo
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Eeeh at least challenge cup anachukua

Ila wenzangu wa kwa malkia sjui shda yao nn hasa mpaka wana itafuta tabu ilipo
Tatizo wageni waliotawaliwa pia na UK hawana Vipaji kama Waliotawaliwa na France kengine kuna Media wanapangia Taifa timu, Nchi kama France nauhakika wangekuwa na Antonio wa Westham wangemchagua kwenye timu au Jarmaine Defoe wasingetizama sababu Sunderland ipo chini.
 

Wilshere alikwenda kufanya nini? Mtu hajacheza hata mechi 6 za ligi afu anachukuwa nafasi ya Drinkwater. Upuuzi mtupu.
 
 
Hivi wale washabiki wa england kama hukuwepo mwaka 1966

Uwa unashangilia england kwa sababu zipi!!?

Maana sja wahi kuona kitu chchte cha maana wamewahi fanya duniani apa
Ahahahaa... kwa hiyo hao wa mwaka 1966 ndio walifanya uchaguzi mzuri sio?

Ila kitu kma mwaka 1994 walifika robo fainali ya world cup, hivyo hata hao walioshabikia mwaka huo hawakukosea saaana kuichagua hiyo tem. Kimavi kipo kwa hawa wa miaka hii timu mbovu na bado ina gundu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…