Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Haaaa
Angekosa ingetakiwa astaafu
Hapa nimehisi ulimfananisha na huyu

3782a700d80e1783cfa8b23ceb6bf279.jpg
 
Hawa vitukuu na virembwe vya vasco da gama vinasafiri kwa kutegemea mizimu ya babu yao msafiri vasco da gama
 
Nilitaman sana portugal watoke..Wanacheza npira wa ajabuajabu sana. Kombe la ujerumani au italy
 
Timu ambayo mpaka sasa haijashinda mechi ndani ya dk 90 ndio ipo Nusu fainali.

Inanikumbusha Ugiriki ya mwaka 2004, walishinda ubingwa kwa mbinu zaidi kuliko ufundi.
Portugal naona hawana mbinu ni kubahatishabahatisha tu. Timu ni vurugu tupu,kiungo na foward hamna kitu. Wanarukaruka tu
 
Back
Top Bottom