Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Kuelekea Euro 2016: Timu zipi unazipa nafasi ya kufanya vyema?

Kiukweli italy hapo walipofikia wanaitaji pongezi wamepambana sana na njia waliopitia ni ngumu sana Antonnio Conte tunakusubili Darajani tuone uwezo wako.
 
Zaza kesho ataitwa na Godfather na kimlio atakisikia Italy huko vp kaingia bila kugusa Mpira kaenda Kuangua Embe tena lishaoza mtini Penalt kama anapiga Rugby Try.
Halafu mbaya aliingia sub ili apige penati .... Zaza he's real zwazwa
 
Back
Top Bottom