MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Wakuu,
Beki kisiki Josh Onyango amekuwa ni mhimili wa ulinzi Simba lakini amekuwa akifanya makosa yanayofanana mara nyingi. Josh akiachwa kwenye kasi akili yake ni kucheza rafu bila kuangalia eneo alilopo na uwezekano wa kupata msaada.
Bado hatuna beki bora kuliko Onyango na mapungufu yake kwasasa ni wajibu wa benchi la ufundi nje ya kuangalia mfumo ni lazima kuwe na special assignment kurekebisha makosa ya Onyango. Tuna mabeki bora duniani waliocheza kwa umri mkubwa na wasio na kasi kubwa lakini wamefanya vizuri zaidi.
Wachezaji waliopo ndio wataotumika, bado inawezekana kabisa tukafanya vizuri kama tuki focus vizuri kwenye kuandaa Wachezaji kama timu na individually.
Ushauri,
Simba waajiri special consultancy team wenye experience kwenye defence mechanisms. Hii iwe ni project fupi kwaajili ya hatua hii ya robo fainali. Makocha Robertinho na Mgunda wamecheza kama washambuliaji enzi zao! Nahisi kwenye ulinzi wa kupambana na timu kama Wydad ni muhimu washauriwe na independent consultant.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Beki kisiki Josh Onyango amekuwa ni mhimili wa ulinzi Simba lakini amekuwa akifanya makosa yanayofanana mara nyingi. Josh akiachwa kwenye kasi akili yake ni kucheza rafu bila kuangalia eneo alilopo na uwezekano wa kupata msaada.
Bado hatuna beki bora kuliko Onyango na mapungufu yake kwasasa ni wajibu wa benchi la ufundi nje ya kuangalia mfumo ni lazima kuwe na special assignment kurekebisha makosa ya Onyango. Tuna mabeki bora duniani waliocheza kwa umri mkubwa na wasio na kasi kubwa lakini wamefanya vizuri zaidi.
Wachezaji waliopo ndio wataotumika, bado inawezekana kabisa tukafanya vizuri kama tuki focus vizuri kwenye kuandaa Wachezaji kama timu na individually.
Ushauri,
Simba waajiri special consultancy team wenye experience kwenye defence mechanisms. Hii iwe ni project fupi kwaajili ya hatua hii ya robo fainali. Makocha Robertinho na Mgunda wamecheza kama washambuliaji enzi zao! Nahisi kwenye ulinzi wa kupambana na timu kama Wydad ni muhimu washauriwe na independent consultant.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app