Kuelekea hatua Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba SC dhidi ya Al Ahly SC 'Hatushindwi'

Leo ndio leo jamaani. Wale Waarabu wenzangu tujumuikeni kwa pamoja kuwapa Support Waarabu wenzetu kwa Mchina. [emoji12][emoji12]

Nifah uko wapi Mwarabu Koko mwenzangu. [emoji3][emoji3][emoji3]

Leo kwakuwa game ni kwa mchina basi zitakuwa 3-0
Tuonane jioni InshaAllah


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Leo kwakuwa game ni kwa mchina basi zitakuwa 3-0
Tuonane jioni InshaAllah


Sent from my iPhone using JamiiForums
😀😀😀 naona unazidi kuwaua Mikia. Lol.

Usijali mwaya Mumy.
 
Kwenye mashindano matatu muhimu Simba kafungwa mechi 1 tu Taifa(Simba 2 mashujaa 3)...Saoura kafa 3,Nkana 3,Mbabane 4..
Najitahidi kuwa mzalendo kuwatakia ushindi lakini sasa "kutamani kitu kitokee hakufanyi kitokee"..Twende na uhalisia tu, Simba 1-4 Ahly.Sasa kama mpira ni hasira fungweni tukutane Feb 16.
 
Tuwe serious 😁😁😁😁
 
Hiyo pilipili inayokuwasha mbona iko karibu tu..

Ngoja nimshughulikie Farao kwanza, wewe wala hunisumbui kama ulichomoka mzunguko wa kwanza awamu hii hutoki[emoji196][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…