Kuelekea hatua Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba SC dhidi ya Al Ahly SC 'Hatushindwi'

Kuelekea hatua Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba SC dhidi ya Al Ahly SC 'Hatushindwi'

twende waarabu twende Al Ahlyyyyy, piga haaoooooooooo.
 
Leo ndio leo jamaani. Wale Waarabu wenzangu tujumuikeni kwa pamoja kuwapa Support Waarabu wenzetu kwa Mchina. [emoji12][emoji12]

Nifah uko wapi Mwarabu Koko mwenzangu. [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] yani unatia chumvi na sukari haki hicho chakula sitakula hata iweje Shadeeya
 
Daaah! Kwa huo mstari wacha tuishie hapo. Maana nimejikuta nayavaa haya maneno kama nimeyaandika mie. [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]

Ila niseme yawapasa muwe na mawazo haya kwenye kila mechi na hata ile ya Jumamosi Feb 16. Teh teh. [emoji3][emoji3]
Mtani matanga ukiisha uje kunipa pongezi
 
Kuelekea hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba SC ambao ni wawakilishi wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) Jumanne ya Februari 12 watakuwa kwenye uwanja wa Taifa kupigana dhidi ya Al Ahly kutoka nchini Misri.

•••Mwana Kulitaka Mwana Kulipewa

Ni mechi kali ambayo kwa Simba SC itakuwa ni ya kulipa kisasi kwa wachenzaji, mashabiki na wanachama pamoja na wadau wa soka kufuatia matokeo ya kipigo cha mabao 5 katika mjini Alexandria nchini Misri.

•••Lakini Mnyama Mkali Simba SC Anasema;

"hatushindwi kwani tunaweza na tumejiandaa kuhakikisha kuwa alama 3 za nyumbani zinabaki hapa hapa nyumbani".

Yamesemwa mengi sana hapa Tanzania, kutoka kila pande hasa upande wa pili ambao wanawaogopa sana waarabu, lakini Simba SC itaishangaza dunia kwenye uwanja wa Taifa.

Kilichowakuta Zamalek ya Misri dhidi ya Gormahia ya Kenya kwenye Kombe la Shirikisho, ndicho kitawakuta Mafarao wa Al Ahly japo wengi hawaamini lakini ndo hali halisi ilivyo.

•••Haya twendeni WANALUNYASI Taifa hatushindwi




View attachment 1019785

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbwembwe nyiiingi ila hamna kitu

KILA LA HERI NATIONAL AL AHLY KATIKA MCHEZO WA LEO DHIDI YA UNDER DOG
 
Hahahaaa. Hatari sana Mkuu.

Mie nawashauri wajazane tu kama ile mechi na Nkana ili tuone maana halisi ya "Nguvu moja" katika kuyapokea matokeo ambayo kwa asilimia kubwa leo yatakuwa kama sindano.
Kiingilio ni bure maana kuwakabili wachawi inatakiwa nguvu ya kupaza sauti na kukemea mapepo iwe ya hali ya juu
 
Back
Top Bottom