Mkuu kila mechi ina plan yake. Huyu Kibu huyu huyu hua anageuka mbape, neymar hana tofauti na sakho na ukiwa mbali ukimuona phiri utadhani haaland. Kwa kifupi Simba SC akiwa group stage hua anabadilika sana.Cha kuogopesha zaidi ni hii simba iliyocheza na kutoka sare na singida big stars juzi. Kwa uchezaji ule, zile hamsa hamsa zitarudi upyaaaa, kama mgao wa umeme ulivyorudi awamu hii ya sita.
RS berkane walichomfanyia ibenge malipo ni hapa hapa dunianiUs monastair kamtoa bingwa mtetezi Rs berkane siyo timu ya kubezwa hata kidogo
Japo najua umetumia sarcasm kuomock yanga lakn ukwel yanga imetushangaza zaidimetuvua nguo tuliamin watalambwa hamsa
Heshim kwenu yanga msibweteke Sasa kazeni walau mfike robo fainal tuongeze points za uwakilishi
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Unatesekea wapi?Matokeo ya mechi (In Aggregate) za playoff za kuwania hatua ya makundi za CAFCC katika msimu wa 2022/23 ni kama ifuatavyo:
Marumo Gallants 3-1 Al Ahli
Tripoli
CS Sfaxien 1-2 ASKO
St Eloi Lupopo 1-0 RC Kadiogo
Diables Noirs 6-2 La Passe
Al Akhdar 4-4 Plateau United
Club Africain 0-1 Yanga
Future 3-2 Primeiro Agosto
Real Bamako 4-2 Royal Leopards
SC Gagnoa 2-5 ASEC
Pyramids 3-1 AS Nigelec
Royal AM 0-3 TP Mazembe
USM Alger 1-0 Cape Town City
Motema Pembe 3-1 Flambeau du Centre
Al Nasr 1-6 Rivers United
RS Berkane 0-1 US Monastir
FAR Rabat 4-0 Djoliba
Baada ya kuangalia matokeo hayo (kwa jicho kali la kiuchambuzi) nazionea huruma sana timu zifuatazo:
1. St. Eloi Lupopo
2. US Monastir
Kwanini Nazionea Huruma:-
1. Hivi unakuwa vipi na furaha kuingia hatua ya makundi kwa aggregate ya goli 1-0 huku wenzako unaoenda kukutana nao wamemdunga mtu goli 6?
2. Natoa angalizo kwa mashabiki wa timu hizi 2 mjitahidi kujazana uwanja wa ndege leo kuwapokea mashujaa wenu maana yajayo yanasikitisha.
Sawa, ila taja unakotesekea..!!Sio kila jambo la kuchukulia serious kama mnafanya NECTA.