Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
😂😂😂😂 nimecheka kwa sauti.SIMBA kama Masai vile....
Akiwa Umasaini anaua SIMBA!
Akija DSM anasuka akina dada Nywele
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂 nimecheka kwa sauti.SIMBA kama Masai vile....
Akiwa Umasaini anaua SIMBA!
Akija DSM anasuka akina dada Nywele
Sent using Jamii Forums mobile app
Uuwiiii. Ukiondoka si tutapungua sa.Mkishinda kwa waalabu nitaondoka duniani
Mmmh.Huu ni moto zaidi ya ule uwakao majikoni mwao/
uliounguza ofisi za zima moto pamoja na vifaa vyao/
Kombe la ligi kuu ni la simba yanga hawana chao/
Yanga janga ligi kuu kisanga,simba ishatia nanga/
vyura mpira hauchezwi mpaka wauze sura kwa mganga/
This is simbaa
Sent using unknown device
Hata nyie pia tuwaone hivi hivi baada ya hiyo mechi.Baada ya hiyo mechi na JS SOURA tuwaone hivi hivi na sio baada ya hapo quote zetu mzipotezeee.
Mie tena. 😎😎Hata nyie pia tuwaone hivi hivi baada ya hiyo mechi.
Ndio dua zenu tumewazoea...Nendeni na matokeo yenu kwenye Mabegi ya nguo cha mto mtakiona na kama mnabisha nyoosheni mikono,fanyeni kama mnajikunyata na mkawaulize AS Vita kilichowakuta hapo Algeria
Waambie hao. 😎😎Nendeni na matokeo yenu kwenye Mabegi ya nguo cha mto mtakiona na kama mnabisha nyoosheni mikono,fanyeni kama mnajikunyata na mkawaulize AS Vita kilichowakuta hapo Algeria
Kiganja kinakuja tenamjitahidi tu watani.. maana ugenini mnakuwaga wanyonge sana... watu wanajipigia 5 tu
Ndoto zingine buana
Nyie ndo huwa mnazimia,maana unamatokeo mfuko wa nyuma tayariTutamchapa js saoura
naskia serikali imekataza kusafirisha vifurushi, so, hawajaenda na parcel yoyote... labda kule wawaonee huruma.... ila wao ndo watarudi navyo...Baada kushusha mizigo sehemu tofauti nchini..Kituo kinachofuata ni Algeria
Uzalendo muhimu mkuu.Nendeni na matokeo yenu kwenye Mabegi ya nguo cha mto mtakiona na kama mnabisha nyoosheni mikono,fanyeni kama mnajikunyata na mkawaulize AS Vita kilichowakuta hapo Algeria