Aisee ili uendelee nilazima ujifunze kuwa na wivu wa maendeleo na sio kulogana au kuombeana dua mbaya. Emu wanayanga tujifunze kutoka kwa mikia japo kidogo.Na hatutegemei mafanikio ya Mikia FC kushiriki michuano ya Kimataifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa nyie kundi Z mechi zenu zakimataifa mtaanza lini c nasikia mlifuzu hatua za makundi ya magroup ya whatsapp baada ya kuwatoa Tukuyu starsNa hatutegemei mafanikio ya Mikia FC kushiriki michuano ya Kimataifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi, mwambieni Haji mnacheza na JS Saoura siyo JS Soura kama alivyo andika kwenye press release.Hatua ya makundi ligi ya mabingwa Afrika kuanza kupigwa Jumamosi ya Januari 12, 2019 kwa wawakilishi wa Tanzania Simba SC, Mnyama Mkali kuliko wote mwituni, inakapokwaruzana na JS Saoura ya Algeria katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Uongozi wa Simba SC umeendelea kuhamasisha wanachama, mashabiki na wadau mbalimbali wa soka kujitokeza kwa wingi uwanja wa Taifa.
Mwenyekiti wa Simba SC, Swedi Mkwabi amewataka mashabiki na wanachama kujitokeza kwa wingi kuipa sapoti timu ili kuweza kupata ushindi, huku akiongeza kuwa wachezaji wako na hali nzuri na morali ya juu kuelekea mchezo huo, huku wakifanya maandalizi ya mwisho.
..Wekundu wa Msimbazi Simba SC
Meddie Kagere, MK 14 na John Bocco, Nyota hatari hawa wakiwa wamepachika mabao 3 kila mmoja, wataongoza mashambulizi dhidi ya JS Saoura, huku Cleoutus Chota Chama, Triple C ambaye ni moja ya sajili bora kabisa zenye tija kufanyika nchini akiwa sehemu ya kiungo mshambuliaji, ubunifu wake na uwezo wakufunga umekuwa chachu ya mafanikio kwa Simba.
..Mwana Kulitaka Mwana Kulipewa
Tiketi zimeanza kuuzwa leo katika vituo mbalimbali kwa shilingi 5,000, 10,000 na 100,000
Tiketi ya Platinum itakupa fursa ya kuchukuliwa katika hoteli ya nyota tano ya Serena Hotel ambao ni washirika wa Simba SC na kupelekwa uwanja wa Taifa na gari lenye hadhi (Luxury bus) likiongozwa na king'ora cha Traffic kwenda na kurudi hoteli Serena huku ukienjoy na soft drinks, bites bila kusahau jezi halisi mpya ya Simba SC
..This Is Simba SC...SimbaNguvuMoja
View attachment 991213View attachment 991214
Sent using Jamii Forums mobile app
Jumamosi utapata jibu. Itakuwa mwisho wa dharau zenu.Sawa nyie kundi Z mechi zenu zakimataifa mtaanza lini c nasikia mlifuzu hatua za makundi ya magroup ya whatsapp baada ya kuwatoa Tukuyu stars
Umaskini kitu mbaya sana. Walivaa jezi za Yanga iki waingie bure.Itashangaza sana Underdog Fc msipomuunga mkono Thomas Ulimwengu wakati alipokuja na Tp Mazembe mlishangilia hadi kuzirai kwa kiingilio cha Yusuf Manji.
Hahaaah ombaomba fc a.k.a roho mbaya fc...mlianza na mbabane tukatatua marinda ya mashabiki wa ombaomba pamoja na mbabane wenyewe ingawa walioumia sana ni mashabiki wa ombaomba...tukaja nkana tukatatua marinda ya mashabiki wa ombaomba pamoja na nkana wenyewe ingawa walioumia sana ni mashabiki wa ombaomba...kesho tunatatua tena marinda ya waarabu pamoja na washabiki wake😂😂😂😂Jumamosi utapata jibu. Itakuwa mwisho wa dharau zenu.
Mkuu..angalia tulivyoandika hapa ubaoni inatosha..kwa Manara typing errorKiongozi, mwambieni Haji mnacheza na JS Saoura siyo JS Soura kama alivyo andika kwenye press release.
Ulipe laki afu mpigwe tatu.
Jumamosi utapata jibu. Itakuwa mwisho wa dharau zenu.
Kila siku ana typing error.Mkuu..angalia tulivyoandika hapa ubaoni inatosha..kwa Manara typing error
Halafu hakuna haja ya uiandika vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesho sio mbali.Tumezoea kauli zenu. Kwahivyo hatusumbuki, Mbabane, Nkana..Mlisema hivyo hivyo lakini Lunyasi anapasua anga tu
Sisi si Kama Ninyi[emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesho sio mbali.
Mkuu acha kupata taabu kwani darasa fupi umelitoa. Mwenye kuelewa ameelewa.Dah! Mkuu inawezekana umetawaliwa na ushabiki kuliko ualisia hv hapo kosa langu nn? Nainawezekana unajifanya shabiki kindakindaki wa yanga wakati ujawai ata kuichangia ata buku. Jifunze kuheshimu mawazo ya wenzio.
Kwan ujui simba akisonga mbele anatengeneza nafasi ya nchi kupata wawakilishi wengi kwenye hii michuano?
Naona umeanza kushabikia mpira mwaka juzi. Ndio tunajifunza hivi kwa kuishangilia JS Saoura kama wao walivyofanya kwa TP Mazembe.Aisee ili uendelee nilazima ujifunze kuwa na wivu wa maendeleo na sio kulogana au kuombeana dua mbaya. Emu wanayanga tujifunze kutoka kwa mikia japo kidogo.
Halafu tayari wameishatoa kafara kule Mwanza. Mwenyekiti wa matawi ya Simba kaondoka.