Kuelekea hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba SC dhidi ya JS Saoura, Injinia Soma hiyoooo!!

Kiongozi, mwambieni Haji mnacheza na JS Saoura siyo JS Soura kama alivyo andika kwenye press release.
 
Jumamosi utapata jibu. Itakuwa mwisho wa dharau zenu.
Hahaaah ombaomba fc a.k.a roho mbaya fc...mlianza na mbabane tukatatua marinda ya mashabiki wa ombaomba pamoja na mbabane wenyewe ingawa walioumia sana ni mashabiki wa ombaomba...tukaja nkana tukatatua marinda ya mashabiki wa ombaomba pamoja na nkana wenyewe ingawa walioumia sana ni mashabiki wa ombaomba...kesho tunatatua tena marinda ya waarabu pamoja na washabiki wake😂😂😂😂
 
Mkuu acha kupata taabu kwani darasa fupi umelitoa. Mwenye kuelewa ameelewa.

Yaani anadai kuwa eti hakuna shabiki wa Yanga kama wewe, yeye kwa Yanga ni ndo msajili wa mashabiki na wanachama..?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee ili uendelee nilazima ujifunze kuwa na wivu wa maendeleo na sio kulogana au kuombeana dua mbaya. Emu wanayanga tujifunze kutoka kwa mikia japo kidogo.
Naona umeanza kushabikia mpira mwaka juzi. Ndio tunajifunza hivi kwa kuishangilia JS Saoura kama wao walivyofanya kwa TP Mazembe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…