Kuelekea hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba SC dhidi ya JS Saoura, Injinia Soma hiyoooo!!

Kuelekea hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba SC dhidi ya JS Saoura, Injinia Soma hiyoooo!!

Sijachapia mtani nimekusudia kuandika hivyo karibu chama kubwa Simba sc kwa mkopo wa siku moja tu ya kesho
Aaah. Waapi. Hivyo ndio maana ukawapa jina la kike eee?

Nilijaribu nikashindwa Mtani. Bakieni tu na timu yenu

Yote kwa yote kesho Manara lazima apost kwa kingereza Insta sababu ya ubaya wa matokeo kama alivyofanya ile mechi ya kwanza na Nkana.
 
Aaah. Waapi. Hivyo ndio maana ukawapa jina la kike eee?

Nilijaribu nikashindwa Mtani. Bakieni tu na timu yenu
Aaaaa mtani hutaki kufurahi wewe maisha yenyewe mafupi haya sasa kwanini ujitese kuwashangilia akina Sauda walioingia kwenye pori lenye Mnyama mkali Simba
 
Dah! Mkuu inawezekana umetawaliwa na ushabiki kuliko ualisia hv hapo kosa langu nn? Nainawezekana unajifanya shabiki kindakindaki wa yanga wakati ujawai ata kuichangia ata buku. Jifunze kuheshimu mawazo ya wenzio.
Kwan ujui simba akisonga mbele anatengeneza nafasi ya nchi kupata wawakilishi wengi kwenye hii michuano?
Ajui uyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] Kazi kwenu kesho
IMG-20190111-WA0044.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom