Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
😁😁😁Umaskini kitu mbaya sana. Walivaa jezi za Yanga iki waingie bure.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁Umaskini kitu mbaya sana. Walivaa jezi za Yanga iki waingie bure.
Aiseee umenikumbusha huyo Mnyakyusa,sijamsikia siku nyingi sana na kajipotezea umaarufu bure nadhani hivi sasa anatamani sana arudi Yanga.Hahahaaaa. Haya waliyaweza kina steve lialia.
Hiyo Offer kama ipo iweke tu mtakaposhinda unipatiemo tu. [emoji85][emoji85][emoji85]
Nakuùnga mkono kwa asilimia zoote mkuuYanga hatuna mashabiki Mambumbumbu kama wewe,tafadhali Yanga hatuna Vinasaba vya Umbumbumbu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nipe matokeoNakuùnga mkono kwa asilimia zoote mkuu
FT: Bila bilaMkuu nipe matokeo
Mkuu..Punguza kidogo mila patofu, unataka watu wasife? Kila mmoja ana wakati wake wa kuishi aisee!
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa kala kitengo Azam,kulia kulisaidia sana na kuhamia AzamAiseee umenikumbusha huyo Mnyakyusa,sijamsikia siku nyingi sana na kajipotezea umaarufu bure nadhani hivi sasa anatamani sana arudi Yanga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawazuia Walozi wa Yanga. Hata mechi na Nkana watu wa Yanga walifika taifa, walikamatwa na kupigwa
Kwa hiyo mnaamini ulozi upo?Wanawazui Walozi wa Yanga. Hata mechi na Nkana watu wa Yanga walifika taifa, walikamatwa na kupigwa
Yaani mechi si yao lakini walienda Taifa kabla ya mechi kwa ajili ya Ulozi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo mnaamini ulozi upo?
Mkuu, si ndiyo mila potofu hizo?
Hao hawazuii ulozi wa Yanga. Ni kisingizio tu.
Niliona interview yake kwenye kipindi cha nyundo za Baruan aiseee yule jamaa ni shidda. Yupo Azam now.Aiseee umenikumbusha huyo Mnyakyusa,sijamsikia siku nyingi sana na kajipotezea umaarufu bure nadhani hivi sasa anatamani sana arudi Yanga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwwiiii. Hawa jamaa bana. Wameamua kuweka kambi. Duuuh.
Mtu anaondoka ili washinde. Lakini kwa Mwarabu wajipange vizuri.Uwwiiii. Hawa jamaa bana. Wameamua kuweka kambi. Duuuh.
Na kweli aisee. Tusubiri tuone leo wanamwagusha naniMtu anaondoka ili washinde. Lakini kwa Mwarabu wajipange vizuri.
Asikuingize king Sibonike wewe hujawahi kuaamini ulozi humo ndani..Muache azidi kuhangaikaNa kweli aisee. Tusubiri tuone leo wanamwagusha nani
😀😀😀 sawa Mtani. 🙏🙏🙏🙏Asikuingize king Sibonike wewe hujawahi kuaamini ulozi humo ndani..Muache azidi kuhangaika
Uchaguzi unampeleka puta[emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nishakuchukulia mojaaa....nitakupitia hapo tukawawakilishe wa algeriaEeeewaaaaaa.
Kwa mbaaali jezi kama zeeetu. [emoji126][emoji126][emoji126]