Hawa ni Ahly wa Misri unavyotumia neno waarabu kumbuka kuna waarabu wengi tu na sio wamisri hata kina Muchacho ni Simba damu na wengi tu ni sawa wa misri waseme funga hawa waafrica haikai vizuri haileti maana. Ni mechi ya Simba ya Tanzania na Alhly ya Misri sio waarabu turekebishe kauli ndogo ndogo kama hizi.Twende mnyama mkali, kuna watu wanafikiri sisi ni size yao kwa vile tupo nao nchi moja, Yaani wao wanamuogopa hadi Kagera sugar hadi wanatamani wakimbie ligi.
Hawa waarabu tunawapiga hapa pamoja na kamati yao ya mapokezi
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] hao ndo waarabu halisi, hapa Mimi siandiki kitabu wala makalaHawa ni Ahly wa Misri unavyotumia neno waarabu kumbuka kuna waarabu wengi tu na sio wamisri hata kina Muchacho ni Simba damu na wengi tu ni sawa wa misri waseme funga hawa waafrica haikai vizuri haileti maana. Ni mechi ya Simba ya Tanzania na Alhly ya Misri sio waarabu turekebishe kauli ndogo ndogo kama hizi.
Waarabu, Egypt, Libya, Tunis, Algeria, Saudi, UAE, Oman sijui Lebanon na wengine wengi tu lazima uwe specific team hii ni ya Egypt na hata Alhly kocha tu wabondeni kuna wachezaji wa Nigeria sijui Zambia sio waarabu wale ni wachezaji wa Alhly ya Misri. Simba sio team ya waafrica ni club ya Tanzania.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] hao ndo waarabu halisi, hapa Mimi siandiki kitabu wala makala
Inahakisi tabia zao, sema achana nao mkuu maana siku hizi wanatetewa sana hasa na huu utawala wa Biden huko ndio maana wanaji expose tu.Hivi kwanini Utopolo ahadi zenu kwenye mpira ni kuvua nguo? Kulikoni
MachiziHivi kwanini Utopolo ahadi zenu kwenye mpira ni kuvua nguo? Kulikoni
Shida yako ni ipi? Kwamba ujaelewa kua Hao Al Ahly ni waarabu au?Waarabu, Egypt, Libya, Tunis, Algeria, Saudi, UAE, Oman sijui Lebanon na wengine wengi tu lazima uwe specific team hii ni ya Egypt na hata Alhly kocha tu wabondeni kuna wachezaji wa Nigeria sijui Zambia sio waarabu wale ni wachezaji wa Alhly ya Misri. Simba sio team ya waafrica ni club ya Tanzania.
Uelewa wako unattzhebu toa bange zako, Simba haiwakilishi Taifa, inajiwakilisha yenyewe, Taifa linawakilishwa na timu ya Taifa tu.
Ndio mpira kk vinginevyo kusingekuwa na haja ya match km hakuna mtu kufungwa either of the twoKuna mtu anaenda kula 5
Sina shida yoyote. Jifunze tu mbona rahisi ALAHLY YA EGYPT hakuna team alahly ya waraabu. msg deliverShida yako ni ipi? Kwamba ujaelewa kua Hao Al Ahly ni waarabu au?
Nawewe tuondolee ujuaji wako hapa. Kama huna cha kuipongeza Simba SC kaaa kimia, kama unataka kuelimisha watu kuhusu Waarabu na Uarabu fungua uzi wako. Kuna watu wanajifanya wajuaji utadhani wana PhD ya Philosophy kama huyu pimbiSina shida yoyote. Jifunze tu mbona rahisi ALAHLY YA EGYPT hakuna team alahly ya waraabu. msg deliver
Kupongeza 🤣 🤣 🤣 🤣 😉Nawewe tuondolee ujuaji wako hapa. Kama huna cha kuipongeza Simba SC kaaa kimia, kama unataka kuelimisha watu kuhusu Waarabu na Uarabu fungua uzi wako. Kuna watu wanajifanya wajuaji utadhani wana PhD ya Philosophy kama huyu pimbi
Wewe ni mgeni sana kwenye soka la africa endelea kukomaaWaarabu, Egypt, Libya, Tunis, Algeria, Saudi, UAE, Oman sijui Lebanon na wengine wengi tu lazima uwe specific team hii ni ya Egypt na hata Alhly kocha tu wabondeni kuna wachezaji wa Nigeria sijui Zambia sio waarabu wale ni wachezaji wa Alhly ya Misri. Simba sio team ya waafrica ni club ya Tanzania.
Ko hao Wa Egypt sio Waarabu au? Au umeamua tu kuonyesha ushamba wako.?Sina shida yoyote. Jifunze tu mbona rahisi ALAHLY YA EGYPT hakuna team alahly ya waraabu. msg deliver
Acha ushamba wewe hakuna team duniani inaitwa Al Ahly ya waarabu wala hakuna nchi inaitwa waarabu. Al Ahly ya Egypt wala hakuna Simba ya Africa ni Simba ya Tanzania mbona mnajitoa ufahamuKo hao Wa Egypt sio Waarabu au? Au umeamua tu kuonyesha ushamba wako.?
Sirudii kukujibu kumbe ujinga wako huko hapo, ujui hata matumizi ya lugha, ukiwa Tanzania uwezi ukasema Simba ya Tanzania lakini ukiwa Kenya utasema Simba ya Tanzania, hata ningekua kwenye nchi za kiarabu nisingesema Al Ahly ya waarabu hapo nisingeweza kutofautisha, hapo ningesema ya Egypt, Ila kwa vile Niko nchi ambayo haipo miongoni mwa nchi za kiarabu Niko sahihi kusema hivyo.Acha ushamba wewe hakuna team duniani inaitwa Al Ahly ya waarabu wala hakuna nchi inaitwa waarabu. Al Ahly ya Egypt wala hakuna Simba ya Africa ni Simba ya Tanzania mbona mnajitoa ufahamu
Tuseme uko sawa kwa hiyo mimi nikiwa nje niite Simba ya waafrica au? Simba ya Tanzania. Na wewe kwa sababu uko nje ulitakiwa kusema Alhly ya Egypt ukisema waarabu nitakuuliza waarabu wapi LIbya? Egypt ni AfricaSirudii kukujibu kumbe ujinga wako huko hapo, ujui hata matumizi ya lugha, ukiwa Tanzania uwezi ukasema Simba ya Tanzania lakini ukiwa Kenya utasema Simba ya Tanzania, hata ningekua kwenye nchi za kiarabu nisingesema Al Ahly ya waarabu hapo nisingeweza kutofautisha, hapo ningesema ya Egypt, Ila kwa vile Niko nchi ambayo haipo miongoni mwa nchi za kiarabu Niko sahihi kusema hivyo.
Nilikua napata shida kukuelewa kumbe shida ni kutokujua matumizi ya maneno ya lugha.
Ukiwa katikati ya wahehe na wewe ni mhehe siwezi kusema Heijah mhehe ila nitataja kua we ni mhehe wa sehemu gani, Ila ukiwa katikati ya wachanga nitasema we ni mhehe haina haja ya kusema we ni mhehe wa sehemu gani.
Kama ujaelewa mtafute mwalimu wako wa lugha, maana kueleweshwa wajinga kama nyie shida kubwa sana hasa uwe mshabiki wa kidimbwi fc.
Hao sio ihefu.Mwarabu atakufa tu atake asitake