Kuelekea Klabu Bingwa Afrika | Simba SC na Al Ahly SC, Mechi ya Kibabe kwa Wababe wa Soka

Status
Not open for further replies.
Huyu kocha wa Al Ahyl anaonekana anawajua vizuri wachezaji wa Simba.kwa namna navyojua Mimi ukimjua mtu vizuri ni rahisi kumkabili kila la heri Simba ila mjipange mechi ni ngumu sana kwa Simba msipojipanga vizuri mtapigika kipigo Cha kufa mtu.Kwa sababu hawa Al Ahyl wamekamilika akitoka mtu anaingia mtu Simba hawana ukamilifu huo Ni wachezaji wale wale uwezo uleule kiasi kwamba hawana mbadala wa kubadilisha mchezo.
 
Wachezaji Ni hao hao hawana mbadala . Sasa wale waarabu wana uwezo wa kubadilisha timu nzima.
 
Haya ndugu.Ngoja tuone.Muda utasema,Leo Mwarabu anataka kujihakikishia kuongoza kundi na kuvuka hatua .Simba ndiyo mtajua Kama mna benchi la Ufundi au mna kikundi Cha wahuni ambao Wana uwezo wa kumsoma mpinzani na kumkabili .Najua baada ya hii mechi kutakuwa na kulaumiana sana kwamba hapa tatizo ni fulani na fulani hawatufahi waondoke
 
Senzo na Pitso wamefanya kazi pamoja Mamelodi, wanajuana, na wote ni wasauzi
Hivi kama Senzo angekuwa bado CEO wa Simba SC, siku moja kabla ya mchezo angekwenda Hotel kisa wanajuana?

Na kwanini asisubiri baada ya mchezo...! Ndo maana tunasema huyu ametangaza Vita na Mnyama Mkali.
 
Hivi kama Senzo angekuwa bado CEO wa Simba SC, siku moja kabla ya mchezo angekwenda Hotel kisa wanajuana?

Na kwanini asisubiri baada ya mchezo...! Ndo maana tunasema huyu ametangaza Vita na Mnyama Mkali.
we acha hizo mbona ceo wa simba barbara alikutana na kocha wa vita ibenge hotelini, tena siku chache kabla ya mechi
 
Mkuuu Ghazwat kama unaweza huu huu uzi ndio tubadili tittle uwe wa LIVE UPDATE tuliamshe hapa hapa mpaka kieleweke... The point of No Return
Ndiyo Mkuu mmteule wazo bomba hili, ngoja tuwaatarifu Moderator watubadilishie Tittle uwa Live Update..!

Heading

Uwanja wa Benjamin Mkapa | Klabu Bingwa Afrika, Simba SC Vs Al Alhy SC, Vita zaidi ya Vita.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…