Ghulaam
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 1,861
- 1,461
Una hoja za kitoto ulipaswa kutoa huo ulinganifu wa changamoto wa hizi kadahatuna shida na wewe, wasalimie milembe
Huwezi kufananisha changamoto idara ya afya na idara ya elimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una hoja za kitoto ulipaswa kutoa huo ulinganifu wa changamoto wa hizi kadahatuna shida na wewe, wasalimie milembe
Mimi nimetoa mfano, sijasema kuwa mwalimu analipwa laki mbili
Nani kasema haunitoshi na hata usiponitosha kuna overtime, night, calls, procedures, bima, part time hapo sijazungumzia clinic, unajua MMED anakula ngapi serikalini?.... ni mishahara ya miezi 5 ya mwalimu mwenye degree, intern doctor tu wanakula 1. 2M yaani katoka tu MD 5 hata leseni hana, halafu ninyi muliofeli na kushindwa kusoma udaktari na pharmacy wengi wenu ndio walimu, munakuja kutusumbua na visredi vyenu vya kipuuzi, nani alikukataza kugonga one six ukachue jiwe lako la MD pale MUHAS pengine ungekuwa una superspeciality in hepatogastroentelogy sasa unakula zaidi ya 5M/months.ukiona mshahara haukutoshi kwa kuwa eti unafanya kazi ya kuchambua ubongo, kaa nyumbani usubiri kuchambua ubongo Wa wanafamilia yako
Una hoja za kitoto ulipaswa kutoa huo ulinganifu wa changamoto wa hizi kada
Huwezi kufananisha changamoto idara ya afya na idara ya elimu
Nani kasema haunitoshi na hata usiponitosha kuna overtime, night, calls, procedures, bima, part time hapo sijazungumzia clinic, unajua MMED anakula ngapi serikalini?.... ni mishahara ya miezi 5 ya mwalimu mwenye degree, intern doctor tu wanakula 1. 2M, halafu ninyi muliofeli na kushindwa kusoma udaktari na paharmacy wengi wenu ndio walimu poor you
hoja yako ya kipuuzi, kwani kwenye afya hakuna wanaoungaunga mpaka ngazi ya degree au masters?
angalia mwalimu anafanya kazi masaa mangapi kwa wiki linganisha na daktari af urudi utuambie vizuri
toa mfano unaoeleweka sasa alafu unajua Kuna kitu miye huwa nashangaa sana watu wote waodharau walimu ambao wapo secta tofauti na uwalimu wengi wao wazazi wao ni walimuMimi nimetoa mfano, sijasema kuwa mwalimu analipwa laki mbili
Akili za mwendokasi hizi. Mbona hujiulizi kwanini bei ya vitabu vya Biology na Physics au zaidi vitabu vya medicines ni tofauti? Je tuition fee ya shahada za udaktari sawa na zile za History? Na mbona hupendekezi wote wasome miaka 3 undergrts kama BA kiswahili?
Acha kufananisha DOCTOR OF MEDICINE na vitu vya kipuuzi, kwa taarifa yako tu ada ya kusoma MD pale KCMC kwa mwaka mmoja tu unasoma degree ya ualimu chuo chochote hapa TZ hadi unamaliza na chenji inabaki......... halafu eti mtu huyo aje alipwe sawa na mwalimu, SERIOUS?habari wanandugu!
Nianze kwa kusema kuwa niipongeze serikali kwa nia nzuri iliyonayo ya kupitia na kupanga upya viwango vya mishahara kwa wafanyakazi wa kada zote.
kwa muda mwingi tumeshuhudia kutofautiana kwa viwango vya mishahara kutoka fani Moja kwenda fani nyingine, mfano ualimu, afya, sheria, uhandisi n.k ambapo baadhi ya Kada wamekuwa wakilipwa mishahara mikubwa kuliko wengine ingawa ukiangalia majukumu na mazingira yao ya kufanyia kazi hayatofauti sana.
kutofautiana huku kwa mishahara kunapelekea baadhi ya wafanya Wa Kada Fulani kuwadharau wafanyakazi Wa kada nyingine, lakini pia no uharibifu Wa pesa kwani kama MTU yule yule (mwalimu) analipwa 20000 na naweza kuishi basi hata huyu mwingine (daktari) akilipwa 20000 ataweza kuishi na kutimiza mahitaji yake. sula hili siyo zuri
katika kuelekea kupanga mishahara upya serikali ifanye utaratibu Wa kulinganisha mishahara kwa wafanyakazi wote kwa kutegemeana na viwango vyao vya elimu. yaani wenye elimu ngazi ya shahada mshshahara wao ulingane, hali kadhalika ngazi ya diploma na cheti
by mkulima Wa nyanya
Sana sana Twaweza watausifia huo mshahara wa Mwalimu.Sisi tunaokaa nao ndio tunajua maisha yao,Mwalimu hana overtime,hana house allowance,hana transport na airtime allowance,hila mshara wake unakatwa PAYE, Pension,NHIF,CWT, sasa huko pension inakopelekwa kwenye hayo mashirika unayoyajua wafanyakazi wanajilipa mishahara minono na mikopo juu kutokana na pension za wafanyakazi ifike mahala tuwaonee huruma walimu wanaojitolea kufundisha katika mazingira magumu sana huku wakistaafu na kuangaikia mafao.Haina haja ya kuweka debate kuhusu mshahara wa mwalimu
Ipo wazi kwamba walimu wanalipwa pungufu ukilinganisha na sekta nyingne
Au tunataka had TWAWEZA waje ku confirm
mwalimu sa 2 asubuh had sa 8 mchana masaa 6katika watu wanaofanya kazi kwa muda Mdogo ni hao unaowasemea. kazi zao ziko kwa zamu, anaweza kwenda SAA sita mchana akatoka SAA kumi na mbili/ SAA mbili usiku. sasa hayo Massa unayoyasemea no yapi?
Kweli wewe ni major and complex cranial nervemwalimu sa 2 asubuh had sa 8 mchana masaa 6
6x5 (j3 mpk ijumaa) =30 hrz per week
ana likizo nne kwa mwaka midterm 2 terminal 2
daktari: saa 2 hadi saa10 masaa 8 8x7 (j3 hadi j3) =56 hrz per week likizo moja tu kwa mwaka mwez m1 ,bado night calls
mwalimu ataongea na wanafunzi wake 100 kwa mara moja wote anawafundisha kitu kimoja atondoka, daktari ataongea na watu 100 mmojammoja kila mtu akiwa na tatizo lake
kama kuna kingine uliza
Mkuu naona kama unajichanganya mwenyewe! Kwani ukimpa Daktari mshahara mkubwa ndo hataweza kuambukizwa hiyo Hepatitis? Pia mleta uzi kaelezea simpo tu tena kwa mfano kuwa kama mshahara wa mwl akipewa daktari hataweza kuishi?Nipokwambia unielezee nilihitaji hoja wala sio mipasho
Hivi unajua kwanini madaktari walihitaji chanjo hepatitis?
Huu ni mfano Mdogo tuuu
Mbona kama hivyo fani nyingine zitakosa watu hv Mwl mwenye Masters ya Mwaka mmoja kwa ada ya Milioni 2 akalipwe Sawa na Daktari anaye toil kupata masters kwa miaka mitatu na ada ya Million 10 kila mwaka na pesa yenyewe kajilipia thru mikopo si afadhali kila mtu awe mwl!Kuna vitu vingine vinachekesha kweli dunia mzima haupo huo utaratibu mtu na MMED yake ya neurology anachambua ubongo kama mchele amekaa darasani miaka 9 eti alipwe sawa na mwalimu wa civics form one, NONSENSE.
Ukiona sehemu wanalipa vizuri hamia huko.
Kuna mahali pamesemwaMkuu naona kama unajichanganya mwenyewe! Kwani ukimpa Daktari mshahara mkubwa ndo hataweza kuambukizwa hiyo Hepatitis? Pia mleta uzi kaelezea simpo tu tena kwa mfano kuwa kama mshahara wa mwl akipewa daktari hataweza kuishi?
Tatizo watu wanaingia deep sana kwenye suala dogo!!
Sijasema wala kushauri hivyo, nilikuwa namsaidia mtoa mada aendelee kujenga "homogeneity" societies kama enzi za usoshalist.kwa hiyo wewe kwa ushauri wako aliyesoma kwa miaka mingi basi alipwe mshahara mkubwa
Mtoa mada kavulugwa aisee,wenzake wanabadilisha fani kimya kimya huwa hawaongeiMbona kama hivyo fani nyingine zitakosa watu hv Mwl mwenye Masters ya Mwaka mmoja kwa ada ya Milioni 2 akalipwe Sawa na Daktari anaye toil kupata masters kwa miaka mitatu na ada ya Million 10 kila mwaka na pesa yenyewe kajilipia thru mikopo si afadhali kila mtu awe mwl!