Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna aliyedharau mwalimu sema wenyewe wanajidhalilisha,wanaonesha wazi kuwa kichwani hamna kitu na ndio mana wanasiasa wanawatumia sana hadi kuwadekisha madarasatoa mfano unaoeleweka sasa alafu unajua Kuna kitu miye huwa nashangaa sana watu wote waodharau walimu ambao wapo secta tofauti na uwalimu wengi wao wazazi wao ni walimu
Yani huu ni utafiti ulio wazi hakuna secta ya utumishi wa umma au nje ya utumishi wa umma ambayo watumishi wake wanaojitahidi na kuhakikisha watoto wao watapata elimu bora kama walimu
Walimu ndio wanaongoza kuwa na watoto madaktari , injinia, wahasibu, mahakimu nk ila ajabu hawa watu wanadharau walimu sasa unajiuliza hivi hiyo kazi ingekuwa ina tatizo mzazi wako aliwezaje kukosomesha
Ukibisha wewe ingia tasisi yoyote sema jamani wale watumishi ambao wazazi wao ni walimu wandike majina hapa Kuna offers ya inakuja utaona asilimia tatu watakuwa watoto wa walimu
Tusidharau walimu jamani wapo vizuri sema wengi wao hawatambui hilo
Uzembe wa walimu unaanzia tangu shuleni,wakati wenzenu wanapambana kusoma kwa bidii wawe ma injinia au madaktari au wahasibu nyie mnacheza,,halafu mnataka mje kulipwa sawa,haiwezekani hiyo kituBora wafanye hivo maana kuna vitaasisi vinajipangia mishahara wakati kazi hata hakuna kazi wanayofanya ambayo ni kubwa kuzidi wengine, pia itaondoa jeuri
pamoja na hayo, Mimi nipate Div one ya pcb, nilikuwa nakesha nasoma wewe na HKL yako miguu juu umelala bwenini, nije chuo kikuu nisome 6yrs na msuri mnene, kupasua maiti na kadhia zote ndo Napata registration ya udactari, wewe miguu juu unasoma 3yrs ushapada degree yako ya ualimu, tena ya discussion tu kwenye vimbweta.unaongea usivyovijuwa, kila idara INA changamoto zake na huwezi kusema kuwa idara ya afya ina changamoto nyingi kuliko zilizoko idara ya elimu, hauko siliazi
we hujui taifa bila walimu hakuna cha kuwepo daktari wala nani we ki la zaKuna vitu vingine vinachekesha kweli dunia mzima haupo huo utaratibu mtu na MMED yake ya neurology anachambua ubongo kama mchele amekaa darasani miaka 9 eti alipwe sawa na mwalimu wa civics form one, NONSENSE.
Ukiona sehemu wanalipa vizuri hamia huko.
mwalimu sa 2 asubuh had sa 8 mchana masaa 6
6x5 (j3 mpk ijumaa) =30 hrz per week
ana likizo nne kwa mwaka midterm 2 terminal 2
daktari: saa 2 hadi saa10 masaa 8 8x7 (j3 hadi j3) =56 hrz per week likizo moja tu kwa mwaka mwez m1 ,bado night calls
mwalimu ataongea na wanafunzi wake 100 kwa mara moja wote anawafundisha kitu kimoja atondoka, daktari ataongea na watu 100 mmojammoja kila mtu akiwa na tatizo lake
kama kuna kingine uliza
halafu hiyo one ya huyo daktari imetoka kwa haohao unao waita wameunga unga elimu yao this is something to lough at.mwalimu aliyepata div 3 au 4 akaungaunga na kupata degree alingane na pharmacist au ddaktari aliyepata div 1 six..kisa tu wote eti wana degree! ridiculous!
Nani kasema haitofautiani sana, acha kujipa moyo wewe, DAKTARI MWENYE DIPLOMA TU ANAKULA PESA NDEFU KULIKO MWALIMU MWENYE DEGREEkwa nini mkuu? harafu mi sijajiegemeza sana kwenye mishahara ya madaktari maana mishahara yao haitofautiani sana na ya walimu labda kwa wewe unayeisikiliza vijiweni
Hakuna aliyedharau mwalimu sema wenyewe wanajidhalilisha,wanaonesha wazi kuwa kichwani hamna kitu na ndio mana wanasiasa wanwatumia sana hadi kuwadekisha madarasa
Acha ushamba kwani hakuna walimu wenye div1? Usiropoke vitu usivokuwa na maarifa navyo nikweli mwalim halingan na dactar lkn div sio kigezo hii ni dalili ya ulimbukenimwalimu aliyepata div 3 au 4 akaungaunga na kupata degree alingane na pharmacist au ddaktari aliyepata div 1 six..kisa tu wote eti wana degree! ridiculous!
Jipeni Moyo mishahara ya MUHIMBILI ifanane na mishahara ya majani ya chai sekondariBora wafanye hivo maana kuna vitaasisi vinajipangia mishahara wakati kazi hata hakuna kazi wanayofanya ambayo ni kubwa kuzidi wengine, pia itaondoa jeuri
PCB apige one six aende ualimu kwa hiyali yake,kama yupo ajitokeze hapa jukwaaniAcha ushamba kwani hakuna walimu wenye div1? Usiropoke vitu usivokuwa na maarifa navyo nikweli mwalim halingan na dactar lkn div sio kigezo hii ni dalili ya ulimbukeni
Sasa kama wapo waliokubali kuwa walimu kwa nini watake kulipwa sawa na madaktari?Naona watu wengi mnachangia kwa mihemko na kishabiki zaidi huku kila mmoja akidharau idara ya mwenzake.....ni kweli huwezi linganisha changamoto za idara ya afya na elimu,zinatofautiana sana ila sasa jiulize watu wote wakiwa madaktari nani atakuwa mwalimu?and vise versa
Hivi mwalimu na daktari nani kilaza? , jijibu mwenyewe.we hujui taifa bila walimu hakuna cha kuwepo daktari wala nani we ki la za