Pre GE2025 Kuelekea kutafuta Katiba mpya na Sheria mpya za Uchaguzi 2025

Pre GE2025 Kuelekea kutafuta Katiba mpya na Sheria mpya za Uchaguzi 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mushkov

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
357
Reaction score
686
Tunapojiandaa kuanza kudai Katiba mpya na Sheria mpya za Uchaguzi napendekeza yafuatayo yafanyike kwanza:-

1. Kiandaliwe kikosi cha utoaji Elimu na uhamasishaji wa umuhimu wa Katiba mpya na Sheria mpya za Uchaguzi.

2. Kiandaliwe kikosi kitakachorekodi matukio yote ya kihalifu yatakayotokea wakati wa vuguvugu hili. Matukio ya kihalifu yanayoweza kutokea ni pamoja na utekaji, utesaji, mauaji, uvurigaji wa mchakato nk.

Yote hayo yarekodiwe kwa kina yaani kila mhusika awe recorded majina na cheo chake na anapoishi au anapofanyia kazi. Hii itasaidia kuwa na reference nzuri huko mbeleni.

La pekee sana ni kwamba, tusipokuwa tayari kwa lolote, ni vema tukae tu kimya tuendelee kushuhudia umaskini haki za Watanzania zikiporwa mchana kweupe.

Chembe ya ngano isipokufa kwanza hubaki hali ile ile bila kuzaliana.

Tujitoe SADAKA ikibidi kufanya hivyo.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika na watu wake. Amina
 
Tunapojiandaa kuanza kudai Katiba mpya na Sheria mpya za Uchaguzi napendekeza yafuatayo yafanyike kwanza:-
1. Kiandaliwe kikosi cha utoaji Elimu na uhamasishaji wa umuhimu wa Katiba mpya na Sheria mpya za Uchaguzi.

2. Kiandaliwe kikosi kitakachorekodi matukio yote ya kihalifu yatakayotokea wakati wa vuguvugu hili. Matukio ya kihalifu yanayoweza kutokea ni pamoja na utekaji, utesaji, mauaji, uvurigaji wa mchakato nk. Yote hayo yarekodiwe kwa kina yaani kila mhusika awe recorded majina na cheo chake na anapoishi au anapofanyia kazi. Hii itasaidia kuwa na reference nzuri huko mbeleni.

La pekee sana ni kwamba, tusipokuwa tayari kwa lolote, ni vema tukae tu kimya tuendelee kushuhudia umaskini haki za Watanzania zikiporwa mchana kweupe.
Chembe ya ngano isipokufa kwanza hubaki hali ile ile bila kuzaliana.
Tujitoe SADAKA ikibidi kufanya hivyo.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika na watu wake. Amina
 

Attachments

  • VID-20241210-WA0000.mp4
    2.4 MB
Back
Top Bottom