We ni mpumbavu kama wengine tu hivi unajuwa kuwa kuna watanzania kibao hawana namba hata ya nida,sasa watasajilia nini? ,matako? saa nyingine muwe mnatumia akili kuwaza na si makalio,pumbav.Mimi nashangaa watu kila kitu rais magufuli,lakini pia tambua kuwa usajili huu ni muhimu sana,wewe nenda kasajili laini yako ,rais aliongeza 20 days,kulia lia huku mitandaoni won't help any more,hutaki achakusajili,but serikali haita sitisha wala kuongeza muda,full stop.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo muda wa kutosha mbona hauwiani na vitendeakazi na manpower? Just think wilaya Ina mashine mbili tu na wafanyakazi watano na population ya wahitaji ni over 800,000! Ni muujiza tu utautegemea siyo? Nida iongezewe vitendeakazi na manpower na kinyume chake ni siasa uchwara na kuchosha watu!
2016Hivi zile simu fake zilifungwa mwaka gani?
Kwann umemtaja rais??!rais aliongeza 20 days,kulia lia huku mitandaoni won't help
Wewe unaweza kuwapigia wale wanaosajili line mtaani wakakusajilia hata Nyumbani kwako, hongera umeyapatia Maisha. [emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Utawala huu wa Magufuli ni rahisi sana kutabiri kitu na kikatokea.
Nilitabiri Babu Seya atatoka ile December 9 2017 ikawa, nilitabiri 2019/2020 watumishi wa umma hawataongezewa hata senti ikawa. Leo narudia tena kutabiri utabiri huu mgumu kuwa line za simu zisizosajiliwa kwa namba ya NIDA kesho tarehe 20 kuelekea tar 21 hazitafungwa.
Kama unabisha tuwekeane dau
Hiyo ya ID moja namba 5 naona ni uongo tu. Mimi nimesajili laini 7
voda 2, tigo 2,
airtel 2 na
halotel 1.
Nimejikuta nachekaEti usumbufu wote huu wantaka wapate fingerprints za kigogo
Haya ni majibu ya akili za nzi kucheza na uchafu. Angekuwa na akili angetengeneza asali. Nchi inahitaji muda zaidi kujisajili. Line zikizimwa kesho wanyonge wengi wataumia. Mm nimeshasajili ila najua kwa muda uliowekwa ni ngumu nchi zima kuwa imesajili.
[emoji16][emoji16] wenye NIDA ya mwanzo kabisa tunasajiliwa hata nyumbani
Huu usiku sa tano na dakika 99{23:59} ndio mwisho wa hizo lain wanafungaMwisho wa tarehe 20
Tutatafuta namana ya kuwaibia nyie wakoromije hata kama mkisajili line kwa kutumia vikojoleoSisi tupo huku vijijini na tumesajili line zetu kwa namba za NIDA. Poleni sana wazee wa ' HIYO PESA TUMA KWENYE NAMBA HII' Tafuteni kazi zingine za kufanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ndiyo point mkuu , wanajifanya kulalamika walikuwa wapi muda wote??