Kufanya maamuzi sio kuumiza watu. Bali ni kuwaandaa kwa mipango thabiti.Vipi ulitabiri simu za kichina kufungwa? Vipi zilifungwa hazikufungwa? Je, ulitabiri kuzimwa kwa analog kupisha digital? Je analog ilizimwa haikuzimwa? Haya ndo mabadiliko yenyewe sasa hatuwezi kurudi nyuma, hatuwezi kuishi kizamani lazima mfumo ubadilike hata kama tumechelewa kufanya maamuzi.
Sasa hivi kuna viongozi 4 wako hoi
Ndio maana tuna iita mi nyumbu mkuu1Naunga mkono hoja kabisa. Mijitu mibishi tu, hebu ona mifano hii mkuu,
3.hii ni 2020Kufungia haiwezekani
1.sababu za kiuchumi
2.Tatizo la NIDA
Hivi zile simu fake zilifungwa mwaka gani?
Utawala huu wa Magufuli ni rahisi sana kutabiri kitu na kikatokea.
Nilitabiri Babu Seya atatoka ile December 9 2017 ikawa, nilitabiri 2019/2020 watumishi wa umma hawataongezewa hata senti ikawa. Leo narudia tena kutabiri utabiri huu mgumu kuwa line za simu zisizosajiliwa kwa namba ya NIDA kesho tarehe 20 kuelekea tar 21 hazitafungwa.
Kama unabisha tuwekeane dau
Pumbafu kweli Wewe Jamaa! Je unajuwa Mkoa wa Kigoma Wananchi walisajiliwa na NIDA Mwaka Jana mpaka leo hawajapewa hata namba za vitambulisho! Sio unafurahia na kukashifu kwasababu Mkoa unaoishi wengi mlisha pewa vitambulisho na baadhi yenu mkazembea kusajili line zenu, ukadhani Nchi nzima wamepewa hizo namba za NIDA .Kwa usalama wa nchi na changamoto za mtandao acha wafunge naunga hoja maaana watanzania wengi wanapenda mizaha sana ....sasa yamewakuta wanaanza lawana
Tujifunze kutii....sio ulalalmika ovyo ...
Nida gumezunguka kila kijiji /mtaa kitongoji ...lkn watu wanaoita tu wanaendelea na shughuli zao
Sasa ...meli imezama wanaaanza lawama za kijinga kwanza Tanzania tumechelewa sana ....kufanya mabadiliko haya
sent from toyota Allex
Wote tutapoteza na kuumia..Wakifunga lazima nchi itatikisika
Unafikiri NIDA wanatoa vitambulisho kama unagawa karanga?Pumbafu kweli Wewe Jamaa! Je unajuwa Mkoa wa Kigoma Wananchi walisajiliwa na NIDA Mwaka Jana mpaka leo hawajapewa hata namba za vitambulisho! Sio unafurahia na kukashifu kwasababu Mkoa unaoishi wengi mlisha pewa vitambulisho na baadhi yenu mkazembea kusajili line zenu, ukadhani Nchi nzima wamepewa hizo namba za NIDA .