JAY MTAALAM
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 1,595
- 1,388
Tarehe 20/01/2020 saa 23:59 ndio mwisho kama kanuni ya muda itaheshimiwa.wanaofahamu deadline wameshanielewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tar 20 hii lakini bado ninapost... labda watafunga tat 21
Mkono wa bwanaWakuu mbona bado line yangu inadunda sielewi vipi nyinyi huko tupeane update.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tarehe 20 ni mwisho wa kusajiri. Kufungiwa ni kuanzia 21, wewe umekula maharage ya wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tarehe 20 ni mwisho wa kusajiri. Kufungiwa ni kuanzia 21, wewe umekula maharage ya wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Utaacha kazi watoto wale mawe,alafu huyo Bosi unaanzaje kumuaga unaenda kusajili line, wakati unaenda NIDA kwa ruhusa bahati kama siyo yako unakutana na foleni hadi unaamua kurudi kazini,Je wale wa vijijini amabako hamna hata wakala unafikiria wana pesa za kwenda Center au Wilayani kwa haraka kisa laini ya simu.Muda mwingine Wabongo hatupo makini kabisa tunawalaumu NIDA bure, hili zoezi toka limetangazwa watu walikuwa hawana muda nalo kabisa ukifika ofisi za NIDA unakuta watumishi wa NIDA wanapiga tu stori hakuna kazi ila deadline inapokaribia kila mtu yupo bize kuhangaikia na NIDA na malalamiko juu.
Mchakato wa kupata kitambulisho cha taifa umeanza zaidi ya miaka minne nyuma, Mlikuwa wapi siku zote.