sawee225
JF-Expert Member
- Jun 14, 2017
- 3,224
- 12,109
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16] [emoji16] [emoji16] mamaaee kweli tupo kwenye ulimwengu Wa pekee yetu.[emoji3][emoji3] bongo tarehe 20 ni kesho saa moja asubuhi
Wakuu mbona bado line yangu inadunda sielewi vipi nyinyi huko tupeane update.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Vp wife amerudi??Yangu haijafungwa trh 20 inaanza kesho saa 1 asbh
NIDA sio kuchukua namba au kujisajiri lazima watambue kama una uhalali wa kupewa namba wengine si raiaSawa Wakati wao NIDA Walipo tutangazia zoezi la kwenda kusajiliwa Vitambulisho kwenye Mkoa wetu, Wao hawakujua hivyo Vitambulisho havitolewi kama Karanga?!
Hakika mkuu.. Wengine jumbe za nida zaweza kuja mtu ukaipiga juu kwajuu ukijua ni sms za usumbufu..Kuna watanzania wengine hata kutofautisha kati ya sms ya nida na miamala ya pesa hawafahamu
Unakuta mtu alijiandikisha kitambo tu na nida wamemtumia namba yake ya utambulisho lakini hafahamu kama ni sms ya nida au tigopesa [emoji16][emoji16][emoji16]
Yaani hawa wakijaribu kufunga line watafungia mpaka wasio na sababu ya kufungiwa ni muhimu hekima itumike sio pupa na maguvu
Sent using Jamii Forums mobile app