Hakuna mantiki ya kutekeleza hili la kufungia lines kwa haraka hivi. Kwanini asiwape deadline NIDA na kuwaongezea nguvu kazi & vitendea kazi ili wafanye kazi kwa weredi? Kwanini watu wasiruhusiwe kusajiri line kwa kutumia pasipoti au driving licence? Kuna madhara gani kijamii, kiuchumi, kisiasa na kiintelijensia kusogeza deadline mpaka Sepr 2025?
1. Uwe masikiniHivi Wanyonge hasa ni kina nani ,ili uwe mnyonge unatakiwa uwe na vigezo gani?
Amini hawawezi fungia yatakua kama Yale ya sim feki