Hakuna mantiki ya kutekeleza hili la kufungia lines kwa haraka hivi. Kwanini asiwape deadline NIDA na kuwaongezea nguvu kazi & vitendea kazi ili wafanye kazi kwa weredi? Kwanini watu wasiruhusiwe kusajiri line kwa kutumia pasipoti au driving licence? Kuna madhara gani kijamii, kiuchumi, kisiasa na kiintelijensia kusogeza deadline mpaka Sepr 2025?
Sababu ni uchaguzi sio usalama