Professional Trader
JF-Expert Member
- Apr 5, 2016
- 1,220
- 1,120
Ulisajiandikisha lini mkubwa maana hapa kuna watu walijiandikisha kabla ya krismas lakini hawajui nini kinaendelea
Kwani hao TCRA wapo humu?
Ajiandae kwa kosa la uhujumu uchumi
Bora umekiri uzembe wako. Wengine ni kama wewe lakini lawama wanazotoa utadhani walijiandikisha miaka mia iliyopita kumbe walipuuzia[emoji3].
Binafsi nilipata namba mwezi wa 9 ila nimesajili siku chache zilizopita, ni uzembe pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOrTE]
Me nilijua kitambulisho cha mpiga kura kinatumika nikajiachia nikajua ndatumia hicho mda wowote kusajili ebwana machale yakanicheza mwaka jana mwezi wa kumi na moja mwishoni si nikasema ngoja nika sajili kumbe kitambulisho sio nikadata,ngoma ikawa nida december ikawa ya moto coz walisema 31 mwisho watu utitili nikashindwa mara wakaongeza mda ndipo kama wiki nimesajili but bado namba nasikilizia mbaka sasa
Bora umekiri uzembe wako. Wengine ni kama wewe lakini lawama wanazotoa utadhani walijiandikisha miaka mia iliyopita kumbe walipuuzia[emoji3].
Binafsi nilipata namba mwezi wa 9 ila nimesajili siku chache zilizopita, ni uzembe pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOrTE]
Me nilijua kitambulisho cha mpiga kura kinatumika nikajiachia nikajua ndatumia hicho mda wowote kusajili ebwana machale yakanicheza mwaka jana mwezi wa kumi na moja mwishoni si nikasema ngoja nika sajili kumbe kitambulisho sio nikadata,ngoma ikawa nida december ikawa ya moto coz walisema 31 mwisho watu utitili nikashindwa mara wakaongeza mda ndipo kama wiki nimesajili but bado namba nasikilizia mbaka sasa
Utaitwa police kisha utawaeleza watawakamata through gpsKama Mtanzania ninapenda kujua, vipi kama nitaibiwa simu na line yangu kutumika kufanya uhalifu?
Vipi nitakuwa na kesi ya kujibu au?
Hakuna uwezakano kwamba line zetu zitakua potential target kwa majambazi?
Poa mkuuSio rahisi aisee nyie ndio mnafanya watu waogope ata kutetea wananchi mkuu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Siku hizi watu na heshima zao wanaokota makopo wanawekea maji ya kandoro.
Umengoa kirahisi sana...bila shaka hujakutana na changamoto ya kupotelewa na line au simu