Unahitaji data gani ili uamue hili?Really...? That's enough...?? Without data and critical evaluation...?
Halafu unataka serikali ikusikilize....!!
Angalitoa vivid explanations na mifano kibao na citation za kutosha.
Sekta ya elimu Tanzania ina shida mahali
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata bunge live ilikua kama utani lakini maisha yanaendelea.Watu watasajili tu na utashangaa kila mtu soon atakuwa na laini iliyosajiliwa. Hata mfumo wa analojia watu walipinga sana kuwa watu hawana uwezo wa kununua vingamuzi mara sijui nini lkn mfumo ulizimwa na hadi leo maisha yanaendelea. Mabadiliko ni threats kwa watu wengi lkn baada ya muda mchache wanazoea na maisha yataendelea kama kawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikubaliani na wazo lako. Zizimwe tu, kuwe na "control" ya uhakika ya watumiaji.Ni hakika wengi hawajaweza kusajili simu zao na sababu ni NIDA kushindwa na pia tabia ya wananchi kusubiri deadlines.
Nashauri laini hizi zisizimwe bali tozo ya shilingi 1000 iwekwe kwa kila siku itakapochelewa kusajiliwa. Pesa hizo ziende moja kwa moja Serikalini. Pia zoezi la usajili liwe endelevu.
Utawala mim huwa nautafsiri kuwa nimekupa hawa viumbe watumie kadri uwezavyo.Mzee unataka tuwajaze ndugu Sebuleni sio
Maana wengine room mbili tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Anza wewe ! Ondoka nyuma ya keyboard!Paza sauti on their behalf
Basi huyu Professeri!hata kwenye kufungiwa viroba alishauri hivyo-hivyo
[emoji1][emoji1] aende wapi?Anza wewe ! Ondoka nyuma ya keyboard!
We labda una mjomba wako pale NIDA. Watu tangu 2016 hawana vitambulisho wala namba, ww unasema wiki 2?Ukishapiga picha kaa wiki mbili au moja ingia kwenye website yao utaipata namba yako.
Hahahahahah....umehit the point!!!!Kivumishi Kielezi, Kesho anaweza kuibuka na kuongeza muda. Kitachofuata ni pongezi kutoka kila pembe ya nchi. Kiongozi wa wanyonge. Mtu wa watu nk.
Hivi simu zimezimika au bado.Tuwasaidieje? Sauti zinazopazwa hapa na kwingine ni kwamba huoni juhudi? Lete suluhisho makelele hayasaidii
Sent using Jamii Forums mobile app
Kupaza sauti mitaani dhidi ya NIDA kutetea wasiosajiliwa 😎
Bado yako tu subiri saa 4 usiku [emoji3]Hivi simu zimezimika au bado.
Mtaani kiaje yaani. Nikasimame sehemu nianze kuongea? Na nani?Kupaza sauti mitaani dhidi ya NIDA kutetea wasiosajiliwa [emoji41]
Kituo cha polisi Kata X.....utakutana na issue za GPS kweli?Utaitwa police kisha utawaeleza watawakamata through gps
Hili nimeliona kwenye suala zima la NIDA. Baadhi tumetimiza/wametimiza wajibu wao kujaza taarifa zote ili wapate vitambulisho au namba lakini kwa sababu za Serikali hawajapata namba ili kusajili line zao.
Unashauri tufanyaje mkuu
Basi wale waliofanikiwa hawawafikilii kabisa ndugu zao ambao bado na ndugu zao walioko vijijini. Vijembe na kejeli ndo nyingi badala ya kuungana na kuieleza serikali kuwa iangalie uamuzi wake kwa kina.
Ndugu zangu acheni unafiki. Msidhani kila mara na kila occasion mtakuwa wa kwanza kufanikiwa nyinyi tu. Tusaidiane.