Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

Really...? That's enough...?? Without data and critical evaluation...?
Halafu unataka serikali ikusikilize....!!

Angalitoa vivid explanations na mifano kibao na citation za kutosha.

Sekta ya elimu Tanzania ina shida mahali

Sent using Jamii Forums mobile app
Unahitaji data gani ili uamue hili?
Tatizo ni wewe ndio huelewi

mapato tu yatokanayo na simu unayajua?.
Line zinazimwa kwa faida ipi?
Una uelewa kuliko huyo Professor?
 
Watu watasajili tu na utashangaa kila mtu soon atakuwa na laini iliyosajiliwa. Hata mfumo wa analojia watu walipinga sana kuwa watu hawana uwezo wa kununua vingamuzi mara sijui nini lkn mfumo ulizimwa na hadi leo maisha yanaendelea. Mabadiliko ni threats kwa watu wengi lkn baada ya muda mchache wanazoea na maisha yataendelea kama kawa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata bunge live ilikua kama utani lakini maisha yanaendelea.

Ukiwa hauna cha kupoteza ni rahisi sana kuzungumza. Wala hatujari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni hakika wengi hawajaweza kusajili simu zao na sababu ni NIDA kushindwa na pia tabia ya wananchi kusubiri deadlines.

Nashauri laini hizi zisizimwe bali tozo ya shilingi 1000 iwekwe kwa kila siku itakapochelewa kusajiliwa. Pesa hizo ziende moja kwa moja Serikalini. Pia zoezi la usajili liwe endelevu.
Sikubaliani na wazo lako. Zizimwe tu, kuwe na "control" ya uhakika ya watumiaji.

Na ndipo NIDA watafanya bidii kwa kila anaestahiki kitambulisho apatiwe haraka sana.
 
Hili nimeliona kwenye suala zima la NIDA. Baadhi tumetimiza/wametimiza wajibu wao kujaza taarifa zote ili wapate vitambulisho au namba lakini kwa sababu za Serikali hawajapata namba ili kusajili line zao.
Unashauri tufanyaje mkuu
Basi wale waliofanikiwa hawawafikilii kabisa ndugu zao ambao bado na ndugu zao walioko vijijini. Vijembe na kejeli ndo nyingi badala ya kuungana na kuieleza serikali kuwa iangalie uamuzi wake kwa kina.

Ndugu zangu acheni unafiki. Msidhani kila mara na kila occasion mtakuwa wa kwanza kufanikiwa nyinyi tu. Tusaidiane.
 
Hakuna line itakayofingwa kwa kutokusajiliwa kwa alama za vidole na namba ya NIDA na kama watagunga basi kesho kabla jua halijazama watafungua
 
Back
Top Bottom