Musundi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 1,584
- 2,613
Ndio. Ni Voda tu ndio hawakubali, wengine inakubali bila shida.Sasa mkuu niulize wewe hauna kitambulisho jina lako ni Vic Man na ndugu yako kitambulisho anacho anaitwa Van Vic watakubali sasa kusajiri line hio kwa jina la Van Vic?