Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

Kuelekea laini za simu zisizosajiliwa kuzimwa; Ushauri wa namna bora ya kufanya ili kutovunja sheria za nchi

Nina line 2. Moja nimesajili kwa kitambulisho cha jamaa (ili nijihadhari na kutokuwepo kwenye mawasiliano)... Nyingine (ya kwangu ya siku zote) sijasajili. Hii ya kwangu ikifungiwa haina shida coz watu wangu hawatonikosa hewani kwa hii nyingine na JF nitaendelea kuenjoy 😀 😀 😀

HIVI NDIVYO NILIVYOJIANDAA KISAIKOLOJIA.
Tuko sawa
 
Watu kama nyie mmeshasajili kitamboo ila mnausoma upepo tu.

Kuna wadau shuleni ukisemaga "kusoma kuelewa kukesha mbwbwe wao wanasapoti huo msemo kumbe wanapiga msuli home wa kukesha
mi nahisi naishi dunia ya pekeyangu. sijawahi kujali wala kujishugulisha na mambo ya NIDA. Cheti cha kuzaliwa nnacho, sijawahi kufanya process ya aina yoyote kuhusu vitambulisho , nmekaa tu nasubiri serikali ije inifate nyumbani inipige picha, inipe na namba. Katika vitu nmevipuuzia maishani ni hicho na wala sijali kabisa kuhusu kufungiwa line naona sawa tu,tena naona wanachelewa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninasikitika TCRA mnatoka mlikolala na kudai eti mtu akitumia kitambulisho chake kusajilia line ya mtu mwingine eti adhabu ni jela.

Hivi mnajua ujanja waliokuwa wanautumia wasajili kutumia taarifa za mtu bila ridhaa yake. Haki tena acheni kukurupuka.

Kama mngekuwa serious tangu mwanzo mngekuwa makini.
 
Haituumi kutokuwa na kitambulisho ila kufungiwa laini za simu!, Na si hivyo tu mwiba mwengine ni kuwa watakaotusajilia watawekwa jela.

Sipendi zoezi hili hasa la NIDA maana linavikwazo utadhani nchi tumekodi. Hakuna viongozi wanaotutetea! Watu wanalalamika humu uhamiaji rushwa NIDA rushwa sijui mnataka iweje!!

Haka kataifa sijui kanapelekwaje napinga na nakaidi kwa ukali wanaokwamisha zoezi la usajili kwa alama za vidole ila sipendezwi na namna Mambo yalivyo!!
 
Wale wenzagu na mimi magwiji na makonki wa kufanya tukio siku ya deadline!
Tunasikitika sana tangu jana jioni na leo jumamosi, na kesho jumapili mtandao wa kusajili simkad kwa alama ya vidole hautapatikana!

Ni rai yangu tutaongezewa muda simu zetu hazitazimwa.
Imetolewa na mwenyekiti wa!

WASUBIRI DEADLINE!!!
 
Ninasikitika TCRA mnatoka mlikolala na kudai eti mtu akitumia kitambilisho chake kusajilia line ya mtu mwingine eti adhabu na jera.
Hivi mnajua ujanja waliokuwa wanautumia wasajili kutumia taarifa za mtu bila ridhaa yake.
Haki tena acheni uzuzu na kukurupuka. Kama mngekuwa serious tangu mwanzo mngekuwa makini.
Ninasikitika TCRA mnatoka mlikolala na kudai eti mtu akitumia kitambilisho chake kusajilia line ya mtu mwingine eti adhabu na jera.
Hivi mnajua ujanja waliokuwa wanautumia wasajili kutumia taarifa za mtu bila ridhaa yake.
Haki tena acheni uzuzu na kukurupuka. Kama mngekuwa serious tangu mwanzo mngekuwa makini.

Akili ndogo mpaka lini??, Hili nalo mpaka tuambiwe kuwa ni kosa??, acheni kutupotezea mda
 
Sio tarehe 20 January tu, mpaka huu mwaka unaisha hakuna SIM card itafungiwa kisa haijasajiliwa kwa mfumo huo wa alama za vidole.

Nchi yangu naijua.
 
Back
Top Bottom