Mwabukusi ni Mtu na Nusu.Kuipigania nchi ni jukumu takatifu.
Kwa hakika tuwape pongezi mashujaa wetu:
View attachment 2913040
Ni wazi kuwa umoja wetu hatimaye, utaikomboa nchi hii:
Maandamano Mbeya, Mwanza umoja wetu umesikika
Tuko kwenye njia sahihi ambayo bila shaka ni mwiba mchungu mno, kwa ma CCM na vibaraka zao.
Akina Nyerere na akina Sokoine, Kawawa walifanya kazi hii hii kama ya Chadema.Kuipigania nchi ni jukumu takatifu.
Kwa hakika tuwape pongezi mashujaa wetu:
View attachment 2913040
Ni wazi kuwa umoja wetu hatimaye, utaikomboa nchi hii:
Maandamano Mbeya, Mwanza umoja wetu umesikika
Tuko kwenye njia sahihi ambayo bila shaka ni mwiba mchungu mno, kwa ma CCM na vibaraka zao.
Jamaa ame quote neno zuri sana lenye relavanceKuipigania nchi ni jukumu takatifu.
Kwa hakika tuwape pongezi mashujaa wetu:
View attachment 2913040
Ni wazi kuwa umoja wetu hatimaye, utaikomboa nchi hii:
Maandamano Mbeya, Mwanza umoja wetu umesikika
Tuko kwenye njia sahihi ambayo bila shaka ni mwiba mchungu mno, kwa ma CCM na vibaraka zao.
Mwabukusi ni Mtu na Nusu.
SahihiWote wajitoao kuipigania nchi bila ya kuyaweka maslahi yao mbele ni mtu na nusu.
Akina Nyerere na akina Sokoine, Kawawa walifanya kazi hii hii kama ya Chadema.
Ni watu wa kuungwa mkono na kila mpenda maendeleo na uhuru wa kweliKwa hakika wanastahili pongezi na kutiwa shime
Shujaa Magufuli RIP