Kuelekea Maandamo Arusha Feb 27: Tuwape pongezi na kuwatia shime wote wajitoao kuipigania nchi hii

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Kuelekea Februari 27 kwenye maandamano ya Arusha, tuwape pongezi na kuwatia shime wote wajitoao kuipigania nchi hii.

Kuipigania nchi ni jukumu takatifu, kwa hakika tuwape pongezi mashujaa wetu:

Your browser is not able to display this video.

Ni wazi kuwa umoja wetu hatimaye, utaikomboa nchi hii:

Maandamano Mbeya, Mwanza umoja wetu umesikika

Tuko kwenye njia sahihi ambayo bila shaka ni mwiba mchungu mno, kwa ma CCM na vibaraka zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…