Kuelekea Mapinduzi 2020: Wa Omani bado wanaendelea kulalamikia wa Zanzibari

Kuelekea Mapinduzi 2020: Wa Omani bado wanaendelea kulalamikia wa Zanzibari

zanzibar huru

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2012
Posts
218
Reaction score
108
Zenji-620x308.jpg


Hawa ma ex colonisers wanataka kuaminisha Dunia kuwa Zanzibar kulikuwa hakuna mtu mpaka walipokuja wao (wasome vizuri huo ujumbe hapo juu)

Na mbaya zaidi Wazanzibari na hususan SMZ kupitia wizara ya Utaliii kila wakitoa maandiko tunapewa historia baada ya kuja Mkoloni Mwarabu toka Oman (hawa nao sijui tuwaite ma beberu au vipi).

Mbaya zaidi toka mapinduzi Serikali ya oman haikufanya juhudi mahsus ya ku normalise relations na Zanzibar na hasa kwa kutumia soft power zaidi ya kuleta ji meli na kujenga Msikiti na kuahidi kukarabati Nyumba ya Sultan (Gofu)

Katika hali ya kawaida kwa kutazama uwezo mkubwa wa Pesa waliyonayo seriali ya oman wangeliweza kuwekeza na kufinance kupitia mikopo yenye masharti nafuu (iwapo serikali ya Tanganyika itakubali kwa sababu SMZ haiwezi kupata pesa na mikopo toka nje mpaka serikali ya Tanganyika huko Dodoma ikubali) major infrastructure projects hapa Zanzibari kama vile Bandari, Airport, Free zone, Hospitals, na bila kusahau financial sector ili zanzibar isiwe kama Dubai bali we kuliko Singapore.

Al muhim, someni hiç article ambayo inatembea sasa kwenye mitandao ya kijamii kama whatsapp etc


07_oman_zanzibar_sebastian_castelier_crop_12.jpg
 
Kwani wewe hujui luwa visiwa vilikuwa pori mpaka Sultan alipokuja? Hakuna mtu aliyejuwa kuna kisiwa pale, hata wavuvi hawakufahamu japokuwa walitoka kilomita 25 tuu kutoka bara.


H Ghasany na swahiba yake Mo Said ndio ma chief propagandists wa kutuaminisha hayo

Imagine haya mabeberu ya Kiarabu yametoka Oman yamekuja yakanyanganya ardhi na Nyumba na mali na wake na mwisho yakawafanya watu weusi watumwa hapa Zanzibar leo kupitia KUKU kuwa zanzibar ilikuwa ni jiwe tue mpaka akaja mkoloni mwarabu

The audacity of these Omanis....
 
Asante kwa hii. Sisi Tanzania tulidhani Waarabu wa Zanzibar ni walalamishi, kumbe sio kosa lao bali ni asili yao Oman.

Nimeisoma hiyo makala ya kizungu, naomba nichangie kizungu, kama makala yenyewe
It's good to know that this controversial area of Omani history about the involvement of Oman Arabs in Zanzibar slave trade, is not only, not widely taught in Omani schools, because slavery is “completely absent from Omani textbooks”, but also, the Arabs in Zanzibar, denies, the involvement of Arabs in Zanzibar slave trade, they claim that slave trade in Zanzibar was done by Indians traders are the ones “financed the trade” and Africans “provided the slaves”, so Arabs are not to blame!. The Arabs in Zanzibar, dismiss the 1964 Zanzibar revolution calling it "genocide against Arabs" therefore they are still bitter till todate.
The best way forward to heal the scars of1964 Zanzibar revolution trauma, is the establishment of peace and reconciliation commission like the one of post apartheid South Africa led by Bishop Desmond Tutu.
P
 
Maalim seifu sharifu aka the separatist anapenda hata kesho warudi anawapendi kuliko weusi kama we



State agent
Moja katika hotuba za Maalim Seif ameshawahi kusema kuwa Sultan Sayd Said, Sultan wa mwanzo wa Zanzibar alialikwa na Wazanzibari wa siku hizo ili aje awasaidie kuwaondoa Wareno..

Mkuu kauli yako ina utata, Sisi watu weusi tangu tujitawale pale Zanzibar, Zanzibar imeingia katika matatizo uchumi umeshuka, chuki zimeibuka na mengi mengineo
 
H Ghasany na swahiba yake Mo Said ndio ma chief propagandists wa kutuaminisha hayo

Imagine haya mabeberu ya Kiarabu yametoka Oman yamekuja yakanyanganya ardhi na Nyumba na mali na wake na mwisho yakawafanya watu weusi watumwa hapa Zanzibar leo kupitia KUKU kuwa zanzibar ilikuwa ni jiwe tue mpaka akaja mkoloni mwarabu

The audacity of these Omanis....
Kwanza jifunze kuandika kiswahili kabla hujaandika kitu usichokijuaa..
 
H Ghasany na swahiba yake Mo Said ndio ma chief propagandists wa kutuaminisha hayo

Imagine haya mabeberu ya Kiarabu yametoka Oman yamekuja yakanyanganya ardhi na Nyumba na mali na wake na mwisho yakawafanya watu weusi watumwa hapa Zanzibar leo kupitia KUKU kuwa zanzibar ilikuwa ni jiwe tue mpaka akaja mkoloni mwarabu

The audacity of these Omanis....
Karibu Zanzibar, wakati huo kulikuwa na msemo usemao "zanzibar njema atakae aje" au "Ngoma ikilia Zanzibar husikika mpaka Congo"

Chini ni picha za wazawa wa Zanzibar waliokaribisha Sultan Said aje awasaidie kumuondoa Mreno

Hii picha ya chini inaonyesha kwa uwazi kabisa kuwa kulikuwa hakuna UBAGUZI baina ya Wazanzibari wenye asili ya KIAFRIKA na ndugu zao wenye asili ya KIARABU, hivi sasa haya hayaonekani tena, probaganda za uongo zilizotengenezwa na wana Mapinduzi zimeleta ubaguzi katika jamii za Zanzibar [/b ]
Screenshot_20191129-184655.jpg
Screenshot_20191129-184616.jpg


Screenshot_20191129-184626.jpg
 
Kisiwa cha mayyote ni shwari kwa lipi? Mbona watu ni maskini wa kutupwa bora hata Zanzibar
Zanzibar kama ikiwa chini ya Oman wazanzibar wataneemeka sana na shida itakua ndio mwisho...na kwa mahusiano tuliyonayo hata bara tutanufaika sana...shida hapa ni siasa..means hapa znz itakua kama visiwa vya mayyote vilivyo chini ya mfaransa mambo shwari
 
Back
Top Bottom