Zawadini
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 2,369
- 1,775
Sikuwa najua. Hivi 2001 waliouliwa ni Waoman? Mkuu unaishi nchi gani?Wa Oman wanajiangaisha tu
Wakileta viroja watachapwa mara mia zaidi ya 2001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikuwa najua. Hivi 2001 waliouliwa ni Waoman? Mkuu unaishi nchi gani?Wa Oman wanajiangaisha tu
Wakileta viroja watachapwa mara mia zaidi ya 2001
ahahahahahhaKisiwa cha mayyote ni shwari kwa lipi? Mbona watu ni maskini wa kutupwa bora hata Zanzibar
Hawa wakimbi wanataka kuaminisha Dunia kuwa Zanzibar kulikuwa hakuna mtu mpaka walipokuja wao
Na mbaya zaidi Wazanzibari na hususan SMZ kupitia wizara ya Utaliii kila wakitoa maandiko tunapewa historia baada ya kuja Mkoloni Mwarabu toka Oman (hawa nao sijui tuwaite ma beberu au vipi).
Mbaya zaidi toka mapinduzi Serikali ya oman haikufanya juhudi mahsus ya ku normalise relations na Zanzibar na hasa kwa kutumia soft power zaidi ya kuleta ji meli na kujenga Msikiti na kuahidi kukarabati Nyumba ya Sultan (Gofu)
Katika hali ya kawaida kwa kutazama uwezo mkubwa wa Pesa waliyonayo seriali ya oman wangeliweza kuwekeza na kufinance kupitia mikopo yenye masharti nafuu (iwapo serikali ya Tanganyika itakubali kwa sababu SMZ haiwezi kupata pesa na mikopo toka nje mpaka serikali ya Tanganyika huko Dodoma ikubali) major infrastructure projects hapa Zanzibari kama vile Bandari, Airport, Free zone, Hospitals, na bila kusahau financial sector ili zanzibar isiwe kama Dubai bali we kuliko Singapore.
Al muhim, someni hiç article ambayo inatembea sasa kwenye mitandao ya kijamii kama whatsapp etc
![]()
Asante kwa hii. Sisi Tanzania tulidhani Waarabu wa Zanzibar ni walalamishi, kumbe sio kosa lao bali ni asili yao Oman.
Nimeisoma hiyo makala ya kizungu, naomba nichangie kizungu, kama makala yenyewe
It's good to know that this controversial area of Omani history about the involvement of Oman Arabs in Zanzibar slave trade, is not only, not widely taught in Omani schools, because slavery is “completely absent from Omani textbooks”, but also, the Arabs in Zanzibar, denies, the involvement of Arabs in Zanzibar slave trade, they claim that slave trade in Zanzibar was done by Indians traders are the ones “financed the trade” and Africans “provided the slaves”, so Arabs are not to blame!. The Arabs in Zanzibar, dismiss the 1964 Zanzibar revolution calling it "genocide against Arabs" therefore they are still bitter till todate.
The best way forward to heal the scars of1964 Zanzibar revolution trauma, is the establishment of peace and reconciliation commission like the one of post apartheid South Africa led by Bishop Desmond Tutu.
P
I believe the proponent of that 'nonsense' didn't know what he was writing about. It is as simple as that.Stop this Truth and Reconciliation nonsense, what has it done to South Africa?
![]()
Hawa ma ex colonisers wanataka kuaminisha Dunia kuwa Zanzibar kulikuwa hakuna mtu mpaka walipokuja wao (wasome vizuri huo ujumbe hapo juu)
Na mbaya zaidi Wazanzibari na hususan SMZ kupitia wizara ya Utaliii kila wakitoa maandiko tunapewa historia baada ya kuja Mkoloni Mwarabu toka Oman (hawa nao sijui tuwaite ma beberu au vipi).
Mbaya zaidi toka mapinduzi Serikali ya oman haikufanya juhudi mahsus ya ku normalise relations na Zanzibar na hasa kwa kutumia soft power zaidi ya kuleta ji meli na kujenga Msikiti na kuahidi kukarabati Nyumba ya Sultan (Gofu)
Katika hali ya kawaida kwa kutazama uwezo mkubwa wa Pesa waliyonayo seriali ya oman wangeliweza kuwekeza na kufinance kupitia mikopo yenye masharti nafuu (iwapo serikali ya Tanganyika itakubali kwa sababu SMZ haiwezi kupata pesa na mikopo toka nje mpaka serikali ya Tanganyika huko Dodoma ikubali) major infrastructure projects hapa Zanzibari kama vile Bandari, Airport, Free zone, Hospitals, na bila kusahau financial sector ili zanzibar isiwe kama Dubai bali we kuliko Singapore.
Al muhim, someni hiç article ambayo inatembea sasa kwenye mitandao ya kijamii kama whatsapp etc
![]()
Sifikirii kama Waomani wanaweza kuisaidia Zanzibar kiuchumi, sababu kubwa ni kuwa serikali ya Zanzibar ikiongozwa na chama tawala CCM ina kila dalili za Ubaguzi dhidi ya watu wengine wasio Waafrika![]()
Hawa ma ex colonisers wanataka kuaminisha Dunia kuwa Zanzibar kulikuwa hakuna mtu mpaka walipokuja wao (wasome vizuri huo ujumbe hapo juu)
Na mbaya zaidi Wazanzibari na hususan SMZ kupitia wizara ya Utaliii kila wakitoa maandiko tunapewa historia baada ya kuja Mkoloni Mwarabu toka Oman (hawa nao sijui tuwaite ma beberu au vipi).
Mbaya zaidi toka mapinduzi Serikali ya oman haikufanya juhudi mahsus ya ku normalise relations na Zanzibar na hasa kwa kutumia soft power zaidi ya kuleta ji meli na kujenga Msikiti na kuahidi kukarabati Nyumba ya Sultan (Gofu)
Katika hali ya kawaida kwa kutazama uwezo mkubwa wa Pesa waliyonayo seriali ya oman wangeliweza kuwekeza na kufinance kupitia mikopo yenye masharti nafuu (iwapo serikali ya Tanganyika itakubali kwa sababu SMZ haiwezi kupata pesa na mikopo toka nje mpaka serikali ya Tanganyika huko Dodoma ikubali) major infrastructure projects hapa Zanzibari kama vile Bandari, Airport, Free zone, Hospitals, na bila kusahau financial sector ili zanzibar isiwe kama Dubai bali we kuliko Singapore.
Al muhim, someni hiç article ambayo inatembea sasa kwenye mitandao ya kijamii kama whatsapp etc
![]()
Chini ni picha za wazawa wa Zanzibar waliokaribisha Sultan Said aje awasaidie kumuondoa Mreno
Ndio maana yake, kwani aliechanganya damu anaitwa nani?![]()
Mbona huyo wapili kutoka kushoto anaonekana kachanganya damu?
Ndiyo maana mnataka muipoleH Ghasany na swahiba yake Mo Said ndio ma chief propagandists wa kutuaminisha hayo
Imagine haya mabeberu ya Kiarabu yametoka Oman yamekuja yakanyanganya ardhi na Nyumba na mali na wake na mwisho yakawafanya watu weusi watumwa hapa Zanzibar leo kupitia KUKU kuwa zanzibar ilikuwa ni jiwe tue mpaka akaja mkoloni mwarabu
The audacity of these Omanis....
![]()
Hawa ma ex colonisers wanataka kuaminisha Dunia kuwa Zanzibar kulikuwa hakuna mtu mpaka walipokuja wao (wasome vizuri huo ujumbe hapo juu)
Na mbaya zaidi Wazanzibari na hususan SMZ kupitia wizara ya Utaliii kila wakitoa maandiko tunapewa historia baada ya kuja Mkoloni Mwarabu toka Oman (hawa nao sijui tuwaite ma beberu au vipi).
Mbaya zaidi toka mapinduzi Serikali ya oman haikufanya juhudi mahsus ya ku normalise relations na Zanzibar na hasa kwa kutumia soft power zaidi ya kuleta ji meli na kujenga Msikiti na kuahidi kukarabati Nyumba ya Sultan (Gofu)
Katika hali ya kawaida kwa kutazama uwezo mkubwa wa Pesa waliyonayo seriali ya oman wangeliweza kuwekeza na kufinance kupitia mikopo yenye masharti nafuu (iwapo serikali ya Tanganyika itakubali kwa sababu SMZ haiwezi kupata pesa na mikopo toka nje mpaka serikali ya Tanganyika huko Dodoma ikubali) major infrastructure projects hapa Zanzibari kama vile Bandari, Airport, Free zone, Hospitals, na bila kusahau financial sector ili zanzibar isiwe kama Dubai bali we kuliko Singapore.
Al muhim, someni hiç article ambayo inatembea sasa kwenye mitandao ya kijamii kama whatsapp etc
![]()
Muipole = Muipore..Ndiyo maana mnataka muipole
Sio Truth and Reconciliation Commission na Oman, ni Truth and Reconciliation Commission ya kuzipatanisha pande mbili zinazosigana Zanzibar kuhusu yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya 1964, waliofanya mapinduzi yale wanajitapa ndio ukombozi wa Mzazibari dhidi ya ukoloni wa Mwanarabu chini ya Sultani dhalimu, waliopinduliwa, walifanywa vibaya, kuna watu waliuliwa kinyama na kufanya kila aina ya vitendo vya kikatili, hivyo wako watu wangali na makovu ya mapinduzi yale, wakiyaita ni mauaji ya kimbari ya Waarabu. Ili Zanzibar is stabilize, kiukweli kabisa Truth and Reconciliation Commission inahitajika, kama ilivyofanya GNU, ni kuwaleta pamoja tuu, lakini watu walikuwa ndani ya GNU huku wana makovu na visasi, ndio maana Mwarabu kila siku anashinda na hapewi kwa kuhofia retaliation, lazima kwanza Wazanzibari msemezana na muambiane ukweli wa kilichotokea ile 1964, msameheane, ndipo muelewane na kwenda pamoja. Amini usiamini, usalama na amani ya Zanzibar imeshikiliwa na huu muungano adhinu tuu, bila hivyo mgechinana mpaka basi!.I humbly disagree na hii premise ya ku set up Truth and Reconciliation na Oman
Stop this Truth and Reconciliation nonsense, what has it done to South Africa?
I dare to say Omanis were not Coloniser,they were not involved on Zanzibar Dynasty..I humbly disagree na hii premise ya ku set up Truth and Reconciliation na Oman
To what ends ?
Omanis were colonisers and its simple as that.
If anything Zanzibaris should demand they (Omanis) pay reparations for the stagnation of not only Zanzibar Islands but the entire cost and Slave routes in Tanganyika that were under the Omanis
The Elephant in the room is, for Omanis, Zanzibari is a prime piece of real estate, always was, always will be and the they want it, for their second home!
Ever wonder why we rejected the dual Citizenship nonsense? Go figure!
These Arabs are the deception kings, they are ruthless, persuasive, divisive and most of all corruptive!
They can keep their Oman and we will keep our Zanzibar.
Stop this Truth and Reconciliation nonsense, what has it done to South Africa?
Anayekulisha atakutawala. Brother Tom SankaraZanzibar kama ikiwa chini ya Oman wazanzibar wataneemeka sana na shida itakua ndio mwisho...na kwa mahusiano tuliyonayo hata bara tutanufaika sana...shida hapa ni siasa..means hapa znz itakua kama visiwa vya mayyote vilivyo chini ya mfaransa mambo shwari
"Mgaa gaa na upwa hali wali mkavu" waswahili walisemaAnayekulisha atakutawala. Brother Tom Sankara
Hahahaa huyo jamaa naona ametoka nchi jirani anajificha kwenye uzalendo.Sikuwa najua. Hivi 2001 waliouliwa ni Waoman? Mkuu unaishi nchi gani?