Kuelekea Mapinduzi 2020: Wa Omani bado wanaendelea kulalamikia wa Zanzibari

Kuelekea Mapinduzi 2020: Wa Omani bado wanaendelea kulalamikia wa Zanzibari

Hawa wakimbi wanataka kuaminisha Dunia kuwa Zanzibar kulikuwa hakuna mtu mpaka walipokuja wao

Na mbaya zaidi Wazanzibari na hususan SMZ kupitia wizara ya Utaliii kila wakitoa maandiko tunapewa historia baada ya kuja Mkoloni Mwarabu toka Oman (hawa nao sijui tuwaite ma beberu au vipi).

Mbaya zaidi toka mapinduzi Serikali ya oman haikufanya juhudi mahsus ya ku normalise relations na Zanzibar na hasa kwa kutumia soft power zaidi ya kuleta ji meli na kujenga Msikiti na kuahidi kukarabati Nyumba ya Sultan (Gofu)

Katika hali ya kawaida kwa kutazama uwezo mkubwa wa Pesa waliyonayo seriali ya oman wangeliweza kuwekeza na kufinance kupitia mikopo yenye masharti nafuu (iwapo serikali ya Tanganyika itakubali kwa sababu SMZ haiwezi kupata pesa na mikopo toka nje mpaka serikali ya Tanganyika huko Dodoma ikubali) major infrastructure projects hapa Zanzibari kama vile Bandari, Airport, Free zone, Hospitals, na bila kusahau financial sector ili zanzibar isiwe kama Dubai bali we kuliko Singapore.

Al muhim, someni hiç article ambayo inatembea sasa kwenye mitandao ya kijamii kama whatsapp etc


07_oman_zanzibar_sebastian_castelier_crop_12.jpg


IKo wapi hiyo Article?
hawa jama ni matajiri sanaa!
 
Asante kwa hii. Sisi Tanzania tulidhani Waarabu wa Zanzibar ni walalamishi, kumbe sio kosa lao bali ni asili yao Oman.

Nimeisoma hiyo makala ya kizungu, naomba nichangie kizungu, kama makala yenyewe
It's good to know that this controversial area of Omani history about the involvement of Oman Arabs in Zanzibar slave trade, is not only, not widely taught in Omani schools, because slavery is “completely absent from Omani textbooks”, but also, the Arabs in Zanzibar, denies, the involvement of Arabs in Zanzibar slave trade, they claim that slave trade in Zanzibar was done by Indians traders are the ones “financed the trade” and Africans “provided the slaves”, so Arabs are not to blame!. The Arabs in Zanzibar, dismiss the 1964 Zanzibar revolution calling it "genocide against Arabs" therefore they are still bitter till todate.
The best way forward to heal the scars of1964 Zanzibar revolution trauma, is the establishment of peace and reconciliation commission like the one of post apartheid South Africa led by Bishop Desmond Tutu.
P


I humbly disagree na hii premise ya ku set up Truth and Reconciliation na Oman

To what ends ?

Omanis were colonisers and its simple as that.

If anything Zanzibaris should demand they (Omanis) pay reparations for the stagnation of not only Zanzibar Islands but the entire cost and Slave routes in Tanganyika that were under the Omanis

The Elephant in the room is, for Omanis, Zanzibari is a prime piece of real estate, always was, always will be and the they want it, for their second home!

Ever wonder why we rejected the dual Citizenship nonsense? Go figure!


These Arabs are the deception kings, they are ruthless, persuasive, divisive and most of all corruptive!

They can keep their Oman and we will keep our Zanzibar.

Stop this Truth and Reconciliation nonsense, what has it done to South Africa?
 
LOooo!, nimezipenda hizo suruali za akina mama.
Mtindo huu utarudi lini? Hivi enzi hizo hapakuwa na viatu?
Watu wamevaa maridadi kabisa hadi vilemba kichwani, lakini miguuni wapo pekupeku!
 
Waafrika bwana sijui tuna tatizo gani, hitaki kuwa koloni lake halafu hapo hapo unamlaumu kwa kutokusaidia na kuwekeza.
Kwani ni lazima afanye hivyo si ulitaka unitawale unapambana na hali yako?
Sijui kwanini tunadhani hatuwezi kuendelea mpaka tusaidiwe
Zenji-620x308.jpg


Hawa ma ex colonisers wanataka kuaminisha Dunia kuwa Zanzibar kulikuwa hakuna mtu mpaka walipokuja wao (wasome vizuri huo ujumbe hapo juu)

Na mbaya zaidi Wazanzibari na hususan SMZ kupitia wizara ya Utaliii kila wakitoa maandiko tunapewa historia baada ya kuja Mkoloni Mwarabu toka Oman (hawa nao sijui tuwaite ma beberu au vipi).

Mbaya zaidi toka mapinduzi Serikali ya oman haikufanya juhudi mahsus ya ku normalise relations na Zanzibar na hasa kwa kutumia soft power zaidi ya kuleta ji meli na kujenga Msikiti na kuahidi kukarabati Nyumba ya Sultan (Gofu)

Katika hali ya kawaida kwa kutazama uwezo mkubwa wa Pesa waliyonayo seriali ya oman wangeliweza kuwekeza na kufinance kupitia mikopo yenye masharti nafuu (iwapo serikali ya Tanganyika itakubali kwa sababu SMZ haiwezi kupata pesa na mikopo toka nje mpaka serikali ya Tanganyika huko Dodoma ikubali) major infrastructure projects hapa Zanzibari kama vile Bandari, Airport, Free zone, Hospitals, na bila kusahau financial sector ili zanzibar isiwe kama Dubai bali we kuliko Singapore.

Al muhim, someni hiç article ambayo inatembea sasa kwenye mitandao ya kijamii kama whatsapp etc


07_oman_zanzibar_sebastian_castelier_crop_12.jpg
 
Zenji-620x308.jpg


Hawa ma ex colonisers wanataka kuaminisha Dunia kuwa Zanzibar kulikuwa hakuna mtu mpaka walipokuja wao (wasome vizuri huo ujumbe hapo juu)

Na mbaya zaidi Wazanzibari na hususan SMZ kupitia wizara ya Utaliii kila wakitoa maandiko tunapewa historia baada ya kuja Mkoloni Mwarabu toka Oman (hawa nao sijui tuwaite ma beberu au vipi).

Mbaya zaidi toka mapinduzi Serikali ya oman haikufanya juhudi mahsus ya ku normalise relations na Zanzibar na hasa kwa kutumia soft power zaidi ya kuleta ji meli na kujenga Msikiti na kuahidi kukarabati Nyumba ya Sultan (Gofu)

Katika hali ya kawaida kwa kutazama uwezo mkubwa wa Pesa waliyonayo seriali ya oman wangeliweza kuwekeza na kufinance kupitia mikopo yenye masharti nafuu (iwapo serikali ya Tanganyika itakubali kwa sababu SMZ haiwezi kupata pesa na mikopo toka nje mpaka serikali ya Tanganyika huko Dodoma ikubali) major infrastructure projects hapa Zanzibari kama vile Bandari, Airport, Free zone, Hospitals, na bila kusahau financial sector ili zanzibar isiwe kama Dubai bali we kuliko Singapore.

Al muhim, someni hiç article ambayo inatembea sasa kwenye mitandao ya kijamii kama whatsapp etc


07_oman_zanzibar_sebastian_castelier_crop_12.jpg
Sifikirii kama Waomani wanaweza kuisaidia Zanzibar kiuchumi, sababu kubwa ni kuwa serikali ya Zanzibar ikiongozwa na chama tawala CCM ina kila dalili za Ubaguzi dhidi ya watu wengine wasio Waafrika

Kauli zao za kuwaita wasio kuwa Waafrika MABEBERU, WAKOLONI, MACHOTARA, MAHIZBU, WANYONYAJI nk, zimetawala midomoni mwao, Dunia inasikia, Waomani wanasikia..

Katika hizi karne tunazoishi, kikawaida nchi zilizotawala zinajua zilifanya makosa makubwa kuwatawala wengine, wanataka kulipa FADHILA

Nchi kama India, Japan, nk zimefaidika na FADHILA za watawala

Serikali ya Zanzibar chini ya CCM HAIJIELEWI, ina hamisisha ubaguzi, sifikiri kama Waomani wanaweza kusaidia Zanzibar financially, Watakuwa wajinga,huwezi kumlipa FADHILA mtu anaekutukana kila siku..

Ujinga wetu wa kutanguliza HISIA kwa kila kitu tunachokifanya bila ya kuangalia UHALISIA wa kile kitu ndio umetufikisha hapa

Zanzibar imetoka kuwa EMPIRE mpaka kuwa nchi fukara, Nchi zilizokuwa na Uwezo wa kuwa EMPIRE zinahesabika, Zanzibar ikiwa moja wapo,

Roman Empire hawa walikuwa wataliana walitawala kabla na baada ya Yesu,

Othman Empire hawa walikuwa Waturuki, kama unaangalia tamthilia ya Sultani ndio historia yao..

Zanzibar Empire hawa walikuwa Waafrika wa Afrika Mashariki..

British Empire hawa ni Waingereza..

Waafrika bila ya kubadilisha MIND SET yetu, bila ya kubadilisha mfumo wa maamuzi yetu Tutaendelea kuwa wa mwisho duniani
 
2230621_Screenshot_20191129-184655.jpg



Mbona huyo wapili kutoka kushoto anaonekana kachanganya damu?
Ndio maana yake, kwani aliechanganya damu anaitwa nani?

Bila shaka itakuwa mchanganyiko wa Mwarabu na Mwafrika,

kwa maana hiyo wale wanaosema kuwa kulikuwa na Ubaguzi wakati huo sio kweli kwani watu walikuwa wanaowana wana zaana bila ya kijali rangi ya ngozi zao

Katika hii picha huyu jamaa alievaa kilemba na koti jeusi ni mwarabu, huo ndio muonekano wa waarabu wa Oman
 
H Ghasany na swahiba yake Mo Said ndio ma chief propagandists wa kutuaminisha hayo

Imagine haya mabeberu ya Kiarabu yametoka Oman yamekuja yakanyanganya ardhi na Nyumba na mali na wake na mwisho yakawafanya watu weusi watumwa hapa Zanzibar leo kupitia KUKU kuwa zanzibar ilikuwa ni jiwe tue mpaka akaja mkoloni mwarabu

The audacity of these Omanis....
Ndiyo maana mnataka muipole
 
Zenji-620x308.jpg


Hawa ma ex colonisers wanataka kuaminisha Dunia kuwa Zanzibar kulikuwa hakuna mtu mpaka walipokuja wao (wasome vizuri huo ujumbe hapo juu)

Na mbaya zaidi Wazanzibari na hususan SMZ kupitia wizara ya Utaliii kila wakitoa maandiko tunapewa historia baada ya kuja Mkoloni Mwarabu toka Oman (hawa nao sijui tuwaite ma beberu au vipi).

Mbaya zaidi toka mapinduzi Serikali ya oman haikufanya juhudi mahsus ya ku normalise relations na Zanzibar na hasa kwa kutumia soft power zaidi ya kuleta ji meli na kujenga Msikiti na kuahidi kukarabati Nyumba ya Sultan (Gofu)

Katika hali ya kawaida kwa kutazama uwezo mkubwa wa Pesa waliyonayo seriali ya oman wangeliweza kuwekeza na kufinance kupitia mikopo yenye masharti nafuu (iwapo serikali ya Tanganyika itakubali kwa sababu SMZ haiwezi kupata pesa na mikopo toka nje mpaka serikali ya Tanganyika huko Dodoma ikubali) major infrastructure projects hapa Zanzibari kama vile Bandari, Airport, Free zone, Hospitals, na bila kusahau financial sector ili zanzibar isiwe kama Dubai bali we kuliko Singapore.

Al muhim, someni hiç article ambayo inatembea sasa kwenye mitandao ya kijamii kama whatsapp etc


07_oman_zanzibar_sebastian_castelier_crop_12.jpg

Uhuru to Zanzibari people

CCM is the colonizer here!
 
I humbly disagree na hii premise ya ku set up Truth and Reconciliation na Oman
Stop this Truth and Reconciliation nonsense, what has it done to South Africa?
Sio Truth and Reconciliation Commission na Oman, ni Truth and Reconciliation Commission ya kuzipatanisha pande mbili zinazosigana Zanzibar kuhusu yale Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya 1964, waliofanya mapinduzi yale wanajitapa ndio ukombozi wa Mzazibari dhidi ya ukoloni wa Mwanarabu chini ya Sultani dhalimu, waliopinduliwa, walifanywa vibaya, kuna watu waliuliwa kinyama na kufanya kila aina ya vitendo vya kikatili, hivyo wako watu wangali na makovu ya mapinduzi yale, wakiyaita ni mauaji ya kimbari ya Waarabu. Ili Zanzibar is stabilize, kiukweli kabisa Truth and Reconciliation Commission inahitajika, kama ilivyofanya GNU, ni kuwaleta pamoja tuu, lakini watu walikuwa ndani ya GNU huku wana makovu na visasi, ndio maana Mwarabu kila siku anashinda na hapewi kwa kuhofia retaliation, lazima kwanza Wazanzibari msemezana na muambiane ukweli wa kilichotokea ile 1964, msameheane, ndipo muelewane na kwenda pamoja. Amini usiamini, usalama na amani ya Zanzibar imeshikiliwa na huu muungano adhinu tuu, bila hivyo mgechinana mpaka basi!.
P
 
I humbly disagree na hii premise ya ku set up Truth and Reconciliation na Oman

To what ends ?

Omanis were colonisers and its simple as that.

If anything Zanzibaris should demand they (Omanis) pay reparations for the stagnation of not only Zanzibar Islands but the entire cost and Slave routes in Tanganyika that were under the Omanis

The Elephant in the room is, for Omanis, Zanzibari is a prime piece of real estate, always was, always will be and the they want it, for their second home!

Ever wonder why we rejected the dual Citizenship nonsense? Go figure!


These Arabs are the deception kings, they are ruthless, persuasive, divisive and most of all corruptive!

They can keep their Oman and we will keep our Zanzibar.

Stop this Truth and Reconciliation nonsense, what has it done to South Africa?
I dare to say Omanis were not Coloniser,they were not involved on Zanzibar Dynasty..

Nitapenda nichangie kwa kiswahili ili walio wengi wafahamu..

Kwanza unatakiwa ujiulize kwanini Jamshid, Sultan wa mwisho Zanzibar ambae alipunduliwa 1964 hakuchaugua kwenda Oman bali alichagua kwenda Uingereza?

Sababu kubwa ya Sultan Jemshid ya kwenda kuchukua ukimbizi UK ni kuwa yeye hakujiona kama MUOMANI yeye alijiona ni MZANZIBARI

Ukirudi nyuma zaidi utakuta kuwa hawa Masultani wa Kiomani kwa wakati huo waligawana nchi, ndugu mmoja katawala Zanzibar na Mwengine Oman ikawa kila mtu anajitawala kivyake..

Huyu Sultani wa Zanzibar miaka nenda miaka rudi,kutokana na kuchanganyika baina ya Waafrika na Warabu katika kasiri la kisultani, Uarabu ukaondoka katika Sultani wa Zanzibar..

Ali bin Hamud ambae alikuwa Sultan wa nane Zanzibar alikuwa Mwafrika kabisa, kutokana na damu kuwa kali zaidi upande wa Mama..

Kwaufupi Masultani wa Zanzibar walikuwa ni wa Wamanyema na Warabu..

Picha Chini ni aliekuwa sultan wa nane Zanzibar
IMG_20191205_073914.jpg
Zanz-Ali_II.jpg


Jamshid ni mwendelezo wa familia ya Ali bin Humud, Jamshid alikuwa Sultani wa 13..picha chini ni Sultani Jamshid..
IMG_20191205_074855.jpg
IMG_20191205_074809.jpg


Tuache kudanganya ya kuwa tuliwapindua WARABU hatukuwapindua Warabu bali tuliwapindua na tukawafukuza ndugu zetu..
 
Zanzibar kama ikiwa chini ya Oman wazanzibar wataneemeka sana na shida itakua ndio mwisho...na kwa mahusiano tuliyonayo hata bara tutanufaika sana...shida hapa ni siasa..means hapa znz itakua kama visiwa vya mayyote vilivyo chini ya mfaransa mambo shwari
Anayekulisha atakutawala. Brother Tom Sankara
 
Anayekulisha atakutawala. Brother Tom Sankara
"Mgaa gaa na upwa hali wali mkavu" waswahili walisema

"If you want to succeed avoid taking advice from broken people" Wazungu walisema..

Ondosha hisia zako, tafakari jaribu kukubaliana na Uhalisia wa sisi kujitawala..

1964 Oman ilikuwa na Hospitali, Shule moja nchi nzima, Zanzibar ilikuwa na kila kitu.

Hivi sasa ni kinyume chake, tafakari
 
Back
Top Bottom