Kuelekea mechi ya CAFCC | Simba SC dhidi ya ASEC Mimosas SC, mechi kubwa kwa timu kubwa

Mkuu kwa mkapa kuingia shughuli yake huwa ndefu sana na jua hili bado hujawaza kuibiwa simu hapo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndo uzalendo huo mkuu.....mbna sisi wananch....tumekuja kuwapa support happa kwa mkapa
 
Inamaana wewe hujui kama Mugalu hatocheza leo au wewe ni mgeni.
 
Uchawi utawafikisha wapi nyie watu,,,mpira ni uwanjani kama mnajiamini timu yenu nzuri si msitumie izo paka na ayo majini,,,pamoja na kuroga kote bado jamaa wanaonekana ni wazuri sana pamoja na kuwafunga miguu kwa uchawi lakini wanaonyesha sio timu ya mchezo muendelee kushukuru uyo mganga wenu
 
Mtukome na Tutashinda
 
Huyo mganga ni shoga
 
Mightier hakika nimekubali.. 3-1 now
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…