Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Kasema wanatumia perfume + juice[emoji23][emoji23]Kwa timu gani mliyonayo, ndo maana manara kawasanua watu umafia wenu mliojiandaa kuufanya ili mshinde.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasema wanatumia perfume + juice[emoji23][emoji23]Kwa timu gani mliyonayo, ndo maana manara kawasanua watu umafia wenu mliojiandaa kuufanya ili mshinde.
Mbna alivyokuwa Simba hamkusema ni punguanumewezaje kuwa member JF halafu unakosa akili ya kujua kama huyo manara ni punguani
Kila nikifanya ....time travel.....jibu linakuja.....kuwa mnapigwaHata drow tukipata POA tu kuliko kufungwa kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ndo uzalendo huo mkuu.....mbna sisi wananch....tumekuja kuwapa support happa kwa mkapaMkuu kwa mkapa kuingia shughuli yake huwa ndefu sana na jua hili bado hujawaza kuibiwa simu hapo.
Inamaana wewe hujui kama Mugalu hatocheza leo au wewe ni mgeni.Baada kuchukizwa na gap la points kupungua hadi kubaki 5 na mdhamini wao kujitoa, hawa wa upande wa pili wameshamaliza kazi kule Bagamoyo.
Pia tetesi zinasema wameweka kwenye chupa majina ya Mugalu, Boko na Kagere hata wabaki wao na goli tupu hawataweza kufunga.
Ni kweli lkn ubora wa kikos ndio una influance teamworkingKinachocheza sio kikosi unaweza ukawa na kikosi ukachezea vile vile
Acha kukariri.Una kikos ulichocheza na hao Al AHLY?
huo upunguani ndio ulimuondoa SimbaMbna alivyokuwa Simba hamkusema ni punguan
Una jibu kismart Sana[emoji16][emoji16]huo upunguani ndio ulimuondoa Simba
kuthibitisha hilo ndio maana hakuwahi kujibiwa. smart pipo could not argue with moronUna jibu kismart Sana[emoji16][emoji16]
Uchawi utawafikisha wapi nyie watu,,,mpira ni uwanjani kama mnajiamini timu yenu nzuri si msitumie izo paka na ayo majini,,,pamoja na kuroga kote bado jamaa wanaonekana ni wazuri sana pamoja na kuwafunga miguu kwa uchawi lakini wanaonyesha sio timu ya mchezo muendelee kushukuru uyo mganga wenuChukua hii ninachojua na Kazi ndiyo tumetoka Kuimaliza sasa japo nikiri ilikuwa ni Nzito kwani Jamaa ( Asec Mimosa ) nao ni Wazima na Wazito kwa Unyangindo ( Uchawi ) ila kuna mahala tumewaweza.
Simba SC anashinda Goli 1 kwa 0 au Goli 2 kwa 0 au Goli 3 kwa 1 japo kuna Uwezekano Mchezaji Kuumia na kuna Kitu kitatokea Uwanjani ila msiogope, msishangae na muwe Wavumilivu nacho.
Mafia wa Soka na Simba SC tumerejea!!
Cc: Bujibuji Simba Nyanaume
😄😃😀Roho ya kimasikini sana.Kwa hiyo hapo kijijini kwenu mmekaa mnapiga ramli Simba ifungwe.Mtaacha uchawi wenu siku moja.Mmeanza kwa kutopokea timu ngeni.Mtakua tu.
NakaziaMganga wa Simba ni soka safi uwanjani izo nyingine ni porojo tu.
Mtukome na TutashindaHabari zimeenea Bagamoyo mitaani kuwa Simba walikuwa kwa witchdoctor mmoja wa Bagamoyo ambaye amejitahidi kuwasaidia ili kichapo kisiwepo lakini imeshindikana. Mganga huyo yupo Bagamoyo maeneo ya jirani na hospital ya wilaya.
Chanzo: wadau wa Bagamoyo.
Huyo mganga ni shogaHabari zimeenea Bagamoyo mitaani kuwa Simba walikuwa kwa witchdoctor mmoja wa Bagamoyo ambaye amejitahidi kuwasaidia ili kichapo kisiwepo lakini imeshindikana. Mganga huyo yupo Bagamoyo maeneo ya jirani na hospital ya wilaya.
Chanzo: wadau wa Bagamoyo.
Mightier hakika nimekubali.. 3-1 nowChukua hii ninachojua na Kazi ndiyo tumetoka Kuimaliza sasa japo nikiri ilikuwa ni Nzito kwani Jamaa ( Asec Mimosa ) nao ni Wazima na Wazito kwa Unyangindo ( Uchawi ) ila kuna mahala tumewaweza.
Simba SC anashinda Goli 1 kwa 0 au Goli 2 kwa 0 au Goli 3 kwa 1 japo kuna Uwezekano Mchezaji Kuumia na kuna Kitu kitatokea Uwanjani ila msiogope, msishangae na muwe Wavumilivu nacho.
Mafia wa Soka na Simba SC tumerejea!!
Cc: Bujibuji Simba Nyanaume
Ngoja tusubiri ila haujawahi kuniangusha kwenye eneo hili la soccer.Matokeo ni haya..
Simba SC 1 na Asec Mimosa FC 0
au
Simba SC 2 na Asec Mimosa FC 0
au
Simba SC 3 na Asec Mimosa FC 1
Kila Ia Kheri. Tumesharejea Kazini sasa.