This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
utopolo jikaze the, utawakilishwa vyema na mnyama. Wazoefu wa hizo kazi.Mkuu pengine mnarejesha zile vimbinu mbinu vyenu vya kumfanya hata Bocco akabadilika kuwa kama Lionel Messi. Si umeona watu wameingia king kwa kuhisi Chama na Luis ni wachezaji wa hatari sana kumbe ni power bank za kwa Mkapa pekee ndio zimewasaidia saivi wanastuka kuwa kumbe walisajili magalasa wanatamani kuwarejeshea magalasa yenu.
Ila ujifunze, siyo kila mazingira ni ya kujamba. Acha kujamba ovyo.