Kuelekea mechi ya CAFCC | Simba SC dhidi ya ASEC Mimosas SC, mechi kubwa kwa timu kubwa

Kuelekea mechi ya CAFCC | Simba SC dhidi ya ASEC Mimosas SC, mechi kubwa kwa timu kubwa

Mkuu pengine mnarejesha zile vimbinu mbinu vyenu vya kumfanya hata Bocco akabadilika kuwa kama Lionel Messi. Si umeona watu wameingia king kwa kuhisi Chama na Luis ni wachezaji wa hatari sana kumbe ni power bank za kwa Mkapa pekee ndio zimewasaidia saivi wanastuka kuwa kumbe walisajili magalasa wanatamani kuwarejeshea magalasa yenu.
utopolo jikaze the, utawakilishwa vyema na mnyama. Wazoefu wa hizo kazi.

Ila ujifunze, siyo kila mazingira ni ya kujamba. Acha kujamba ovyo.
 
mikia jumapili msiukimbie huu uzii, kwa maana nyie ni mabingwa wa kukimbia kumbia tuu
 
mikia jumapili msiukimbie huu uzii, kwa maana nyie ni mabingwa wa kukimbia kumbia tuu
Nyie ndo mnasupport wageni na mwisho baada ya matokeo mnaufyata

Simba SC ndo kimbilio la wasioweza
 
Simba wachezaji wengi hawapo ,Kibu , Morison ,Mugalu ,Lwanga na Dilunga nao njia panda .

Dah sina imani na mechi hii naona mambo yatakuwa magumu sana
Mimi sio simba ila hao ambao hawapo hapo ni pigo kubwa kwa simba mkuu.
 
Sio Simba hii. Nikikumbuka Galaxy walivyofanya, imani inanitoka kabisa.

Wachezaji wetu wa Simba wa sasa waliunajisi uwanja wa Mkapa kwa kuruhusu kufungwa bao tatu na kutupwa nje ya CCL

Kabda ya hapo Watanzania tulijua na wapinzani wetu kutoka nje ya nchi nao walijua kua Kwa Mkapa mbele ya Lunyasi SSC haponi mtu

Kocha wa Ahly Mosimane katika hafla ya kupanga draw ya CCL alisema anafarijika maana this time hawatakwenda kwa Tanzania(kucheza na Simba kwa Mkapa)

Hebu vijana wetu wauchukulie serious mchezo huu. Asec Mimosas hatujawahi kuwafunga ndani wala nje na kumbukumbu ya Sekou Bamba bado tunayo alivyotuua pale Shamba la Bibi. Ila siku zimebadikika na lolote linawezkana. Tukapambane
Umeongea kama mpenzi wa soka yaani, safi kabisa.
 
Kwa Simba hii ya PENALTY na RED CARD matokeo ni kuliwa kiboga mapema sana. Uifunge mbeya kwanza kwa bao la wizi afuu utambe kumfunga Memoc!!?

Au mmesahau yale matokeo ya Galaxy😀🚶🚶
 
Kwa Simba hii ya PENALTY na RED CARD matokeo ni kuliwa kiboga mapema sana. Uifunge mbeya kwanza kwa bao la wizi afuu utambe kumfunga Memoc!!?

Au mmesahau yale matokeo ya Galaxy[emoji3][emoji124][emoji124]
Ewe "Mama J FC" Memoc ndiyo timu gani?
 
Back
Top Bottom