mpiga vichwa
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 2,376
- 3,811
Chomoa kwanza huu mwiko akili zikurudi . Vinginevyo utaendelea kuandika huu utopolo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka Mungu akinipa uzimaKesho kaka unaenda mpiran?
Nimekumbuka Lunyasi mwenzangu, nimekumbuka sasa. Tulinyimwa goli la kichwa cha ama Emmanuel Gabriel Mwakyusa au Joseph Golota eti ofside
Ile .echi ya Ivory Coast tuliitupa wenyewe. Nimekumbuka mkuu wangu. Samahani
Nashukuru mkuuMkuu nilishatoa ufafanuzi kwenye post yangu no 17
Sio kikosi tu, ile spirit pia imo?Una kikos ulichocheza na hao Al AHLY?
Mimi bado nafikiria mkuu
Haji ndio aliwaaminisha hivyo na ilisaidia sana. Ila kwa sasa si kitu,rejea makhirikhiri!!Nina kawoga flani.. lakini nikikumbuka Simba kwa mkapa Ni hatari..napata amani
Manina zako wewe acha uchawi mtani.Kusema ukweli wanasimba mjiandae kabisa
Kila ninachokiota kinatokea kweli sijawahi ota ndoto isitimie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wabongo ni wanafiki sanaWakishinda utasikia mmewafunga vibonde,wasubirini Mazembe,mibongo bhana
Ndiyo life tulilochagua kwenda nalo. 😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wabongo ni wanafiki sana
Nyinyi tuliwabeba mkaenda kupigana Nigeria badala ya kucheza mpiraMbeleko fc kesho watakiona cha mtema kuni.
Ndiyo shida ya kulala njaa lazima uote ndoto za kibwegebwege tuKusema ukweli wanasimba mjiandae kabisa
Kila ninachokiota kinatokea kweli sijawahi ota ndoto isitimie