Kuelekea mechi ya CAFCC | Simba SC dhidi ya ASEC Mimosas SC, mechi kubwa kwa timu kubwa

Kuelekea mechi ya CAFCC | Simba SC dhidi ya ASEC Mimosas SC, mechi kubwa kwa timu kubwa

Chomoa kwanza huu mwiko akili zikurudi . Vinginevyo utaendelea kuandika huu utopolo.
IMG-20210912-WA0075.jpg
 
Nimekumbuka Lunyasi mwenzangu, nimekumbuka sasa. Tulinyimwa goli la kichwa cha ama Emmanuel Gabriel Mwakyusa au Joseph Golota eti ofside

Ile .echi ya Ivory Coast tuliitupa wenyewe. Nimekumbuka mkuu wangu. Samahani

Emmanuel Gabriel Mwakyusa, ile game waarabu waliuza
 
Back
Top Bottom