Kuelekea mechi ya CAFCC | Simba SC dhidi ya ASEC Mimosas SC, mechi kubwa kwa timu kubwa

utopolo jikaze the, utawakilishwa vyema na mnyama. Wazoefu wa hizo kazi.

Ila ujifunze, siyo kila mazingira ni ya kujamba. Acha kujamba ovyo.
 
mikia jumapili msiukimbie huu uzii, kwa maana nyie ni mabingwa wa kukimbia kumbia tuu
 
mikia jumapili msiukimbie huu uzii, kwa maana nyie ni mabingwa wa kukimbia kumbia tuu
Nyie ndo mnasupport wageni na mwisho baada ya matokeo mnaufyata

Simba SC ndo kimbilio la wasioweza
 
Simba wachezaji wengi hawapo ,Kibu , Morison ,Mugalu ,Lwanga na Dilunga nao njia panda .

Dah sina imani na mechi hii naona mambo yatakuwa magumu sana
Mimi sio simba ila hao ambao hawapo hapo ni pigo kubwa kwa simba mkuu.
 
Umeongea kama mpenzi wa soka yaani, safi kabisa.
 
Kwa Simba hii ya PENALTY na RED CARD matokeo ni kuliwa kiboga mapema sana. Uifunge mbeya kwanza kwa bao la wizi afuu utambe kumfunga Memoc!!?

Au mmesahau yale matokeo ya Galaxy😀🚶🚶
 
Kwa Simba hii ya PENALTY na RED CARD matokeo ni kuliwa kiboga mapema sana. Uifunge mbeya kwanza kwa bao la wizi afuu utambe kumfunga Memoc!!?

Au mmesahau yale matokeo ya Galaxy[emoji3][emoji124][emoji124]
Ewe "Mama J FC" Memoc ndiyo timu gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…