Kuelekea Mechi ya Ngao ya Jamii August 13, 2022

kabla ya kuosha vyombo wadeki nyumba kwanza,waende sokoni,wapike,watenge chakula kisha watoe vyombo wakaoshe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Umesahau na wadeki vyoo
 
Mpira haupo ivyo mkuu huwezi kusema kwa sababu fulani kamfunga fulani ambae yupo chini ya fulani basi fulani atamfunga fulani, ingekua kujua matokeo ni rahisi ivyo kila siku watu wangekua wanampiga mhindi na kumbuka hozi takwimu sio mara zote zinakua sahihi kuna taarifa nyingi ambazo huwezi kuziweka wakati wa kuandaa takwimu.. kikubwa tusubiri tu iyo tarehe 13
 
Hata yanga imepitwa na Saint George.
 
Tathimini yangu kutokana na ukongwe wa uchambuzi kutoka hapa tukuyu.....mbeya

Simba wameua.. kwenye sherehe yao
Km wee umekubaliiiii, baas hakun wa kupinga. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kolo jibu hoja
 
Ndio kwasababu tegemeo lenu Aziz domo,Bilinganya na Joyce wamechomesha mkapigwa mbili na Vipers utd.
Mkapigwa nani?
Umedata mwanasimba mwenzangu?

Yanga hatuwezi kuwafunga wale.
 
Mkapigwa nani?
Umedata mwanasimba mwenzangu?

Yanga hatuwezi kuwafunga wale.
Aziza kei,Joyce na Bilinganya awana kitu wale,,mmepigwa,Mwamnyeto uchochoro Chama atamtembeza kwa mikono hataamini[emoji375][emoji375]
 
Unamaanisha kwamba Mbeya city ikiifunga simba basi haitafungwa na prisons ama!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…