Kuelekea Mechi ya Ngao ya Jamii August 13, 2022

Kuelekea Mechi ya Ngao ya Jamii August 13, 2022

Simba mambo yao yanaonekana wana watu wenye akili wanayoya plan

♦️Ukiangalia mpangilio wa Siku ya mwananchi ni wa kienyeji kuliko simba walivyoipamba siku yao. Kitendo cha kuweka viingilio vikubwa kilisababisha uwanja usijae kwani mashabiki wa kima cha chini ambao ndio wafiatimu walishindwa. Tukumbuke kuwa nyomi la mashabiki ndio inakuza brandi ya timu na ndio pesa zenyewe kwani wadhamini wanavutiwa

Yanga wamedanganywa na manara kuwa bila yeye uwanja haujai na hata wakiweka koingilio chochote akipiga domo watu wanajaa,kitu ambacho sii kweli mbona Simba wamejaza ni manara kajaza? Kitendo cha Tanga kuksidi hukumu ya TFF dhidi ya manara wamejiingiza kwenye mgogoro usio na sababu.

Ussjili,Yanga imetumia nguvu na hela kubwa kumsajili mchezaji mmoja wa maana, wengine wakalokoteza lokbiriteteza zalookauka. Je! Huyo mmoja ndio atabadilisha timu?

Wenzao wamevhelewa lakini wakafanya usajili wa vijana wa maana na wenye kasi na wameendana na mfumo kwa haraka.

Viongozi wa yanga ni vijjana na wanaendesha timu kisela.

UTABIRI
Huu unaweza kuwa mwaka mbaya wa migogoro mkubwa ndani ya wananchi, wa kufukuzana na kushutumiana. Anayeitwa pfofesa sasa atalaumiwa na sidhani kama atamaliza msimu. Anaye itwa screen protector leo sijui katikati ya msimu ataitwaje
Ety utabiri,, wewe umekuwa nani kwanza una uspecial gani, uliwahi tabiri jambo gani la maana.. toa hizo tongotongo.
Yanga inajishape kithamani..Kolo imejaza uwanja kwa buku 3, 3 Ila kwenye mapato tumewazidi mara dufu.. We are citizens... Hakuna kolo litajilinganisha kwetu.. Timu tunayo kama unabisha save my comment then uje ui-revive Saturday after game
 
Nyie tulieni acheni porojo nyingi za kujifurahisha yanga ameweka mtego mkali sana kwa simba baada ya kufungwa jumamosi, Simba wataingia kichwa kichwa wakidhani wanaiweza yanga sasa kitakachotokea watasimulia, kwa tathmini ya kawaida tu yanga bado ina timu bora zaidi ya simba kiufundi, hili simba aupate ubora wa yanga anatakiwa kufanya kazi ya ziada mara 2 zaidi, kuanzia muunganiko mpaka kwa mchezaji mmoja mmoja, kutengeneza muunganiko wa timu sio suala jepesi Kama mnavyofikiria na matokeo dhidi ya st george ndo yamewalevya kabisa na kuona wamemaliza kila kitu, kiufundi kuna kazi ya ziada wanatakiwa waifanye vinginevyo wataonyeshwa kwa vitendo
 
Nyie tulieni acheni porojo nyingi za kujifurahisha yanga ameweka mtego mkali sana kwa simba baada ya kufungwa jumamosi, Simba wataingia kichwa kichwa wakidhani wanaiweza yanga sasa kitakachotokea watasimulia, kwa tathmini ya kawaida tu yanga bado ina timu bora zaidi ya simba kiufundi, hili simba aupate ubora wa yanga anatakiwa kufanya kazi ya ziada mara 2 zaidi, kuanzia muunganiko mpaka kwa mchezaji mmoja mmoja, kutengeneza muunganiko wa timu sio suala jepesi Kama mnavyofikiria na matokeo dhidi ya st george ndo yamewalevya kabisa na kuona wamemaliza kila kitu, kiufundi kuna kazi ya ziada wanatakiwa waifanye vinginevyo wataonyeshwa kwa vitendo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unaandika huku chozi linadondoka, woiiiiiih poleeeeeeeh
 
Game ya simba na yanga haitabiriki hata kama mmoja ni mbovu.

Niliwaona yanga vs vipers sijaona kama wana ubovu kiasi hicho, kufungwa ni matokeo tu ya mchezo.

Mimi simba, napenda kuona chama langu likishinda lakini siwezi kuwakosea adabu yanga kuwa atafungwa kirahisi, yanga anaemdeleza alipoishia msimu uliopita ambao alikuwa vizuri.
 
Game ya simba na yanga haitabiriki hata kama mmoja ni mbovu.

Niliwaona yanga vs vipers sijaona kama wana ubovu kiasi hicho, kufungwa ni matokeo tu ya mchezo.

Mimi simba, napenda kuona chama langu likishinda lakini siwezi kuwakosea adabu yanga kuwa atafungwa kirahisi, yanga anaemdeleza alipoishia msimu uliopita ambao alikuwa vizuri.
Huwezi kuongea haya kama si shabiki wa mpira. Hongera umejitofautisha na Washangiliaji.
 
Mechi hiyo haitakua na maajabu ni kama hizi mechi mbili zilizopita...bado muunganiko na kuchangamka kwa wachezaji..tukubalini matokeo yeyote yatakayotokea
Mechi nzuri itakua oktoba 23

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Simba mambo yao yanaonekana wana watu wenye akili wanayoya plan

♦️Ukiangalia mpangilio wa Siku ya mwananchi ni wa kienyeji kuliko simba walivyoipamba siku yao. Kitendo cha kuweka viingilio vikubwa kilisababisha uwanja usijae kwani mashabiki wa kima cha chini ambao ndio wafiatimu walishindwa. Tukumbuke kuwa nyomi la mashabiki ndio inakuza brandi ya timu na ndio pesa zenyewe kwani wadhamini wanavutiwa

Yanga wamedanganywa na manara kuwa bila yeye uwanja haujai na hata wakiweka koingilio chochote akipiga domo watu wanajaa,kitu ambacho sii kweli mbona Simba wamejaza ni manara kajaza? Kitendo cha Tanga kuksidi hukumu ya TFF dhidi ya manara wamejiingiza kwenye mgogoro usio na sababu.

Ussjili,Yanga imetumia nguvu na hela kubwa kumsajili mchezaji mmoja wa maana, wengine wakalokoteza lokoteteza zalookauka. Je! Huyo mmoja ndio atabadilisha timu?

Wenzao wamevhelewa lakini wakafanya usajili wa vijana wa maana na wenye kasi na wameendana na mfumo kwa haraka.

Viongozi wa yanga ni vijjana na wanaendesha timu kisela.

UTABIRI
Huu unaweza kuwa mwaka mbaya wa migogoro mkubwa ndani ya wananchi, wa kufukuzana na kushutumiana. Anayeitwa pfofesa sasa atalaumiwa na sidhani kama atamaliza msimu. Anaye itwa screen protector leo sijui katikati ya msimu ataitwaje
wewe mganga feki rudisha kuku wa watu
 
Back
Top Bottom