Kuelekea Mechi ya Simba SC dhidi ya AS Vita Club, hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika 'Hatoki Mtu'

Vilevile kumbuka na fahamu kwamba kwenye kundi D hakuna timu nyingine ambayo IMEKUNG'UTWA (5x2)+2.

Unajua Mbumbumbu FC mna shida kubwa sana ya ufahamu vichwani na ndio maana Manara anaweza kuwagonga FIX ameandika barua FIFA nanyi mkakubali. Wewe Ghazwat , kama kila timu imeshida nyumbani kwake, mbona kuna timu 2 zina points 7?

Mnajijaza mapovu kichwani baadae mnaanza kulia hovyo, au unafikiri Bana Congo nao ukiwaweka juani wanachemsha engine kama Waarabu?
 
Mwana Mtoka Pabaya Kuhusu alama 7 ni kutokana kupata sare kwahivyo nimezungumzia kuhusu ushindi tu..!

Yote kwa yote hii gemu tunashinda, waarabu tuliwaanika juani na Nkana FC nao..!
 
Tumerudi salama. Tuna morali na tutapambana vya kutosha na tutafuzu hatua inayofuata....................John Bocco.
 
Hivi kwenye hilo kundi D yanga nao wapo?

Sent using unknown device
 
Akili zote wamemuachia manara vuvuzera lao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za Mama zinahusu nini hapa..!

Jibu hoja Mashujaa na ligi ya mabingwa wapi na wapi..Kama huwezi mjadala na kutaniana kaa kimyaa Maluuni Waheed
Kudaiwa Yanga na ligi ya mabingwa kuna husiana nini? Jibu kwanza wewe uliyehusisha kudaiwa yanga na mjadala ya ligi ya mabingwa kuna husiana nini? mbumbumbu waahead weee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni hivyo ungetaja Simba ama kunitaja mimi nasiyo mzazi..Lakini nimegundua huna hulijualo...Umevamia kambi
Kudaiwa Yanga na ligi ya mabingwa kuna husiana nini? Jibu kwanza wewe uliyehusisha kudaiwa yanga na mjadala ya ligi ya mabingwa kuna husiana nini? mbumbumbu waahead weee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…