1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Leo Yanga wasiingie ktk vyumba hahahajajaj kuna body spray hahahah
Waluke tu UKUTA hahahahha
Waluke tu UKUTA hahahahha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi naomba Zahera awadanganye tena, maana hawasikii hadi masikio yawatoke damuKuna faini wamelimwa juzi na hiyo mechi wakikubali kudanganywa na Zahera wajue kuna shilingi 3,000,000 walipe.
Hahhahaa atakuja bwana atakuwa amebanwa tuKama matokeo ya Biashara Utd yangekuwa rafiki kwake..yamkini angejitokeza
Lakini kwa kuwa Mnyama ni mfalme wa Pori basi imemuumiza kiasi[emoji23][emoji23]
Acha upu.mbavuuhSisi Yanga tunauliza hii nafasi ya pili inatupeleka CAF Champions 2020/2021 kwenye zile nafasi 4 tulizotafutiwa na Simba?
Haiwapeleki, zile nafasi 4 zinaanza 20/21, ila 19/20 nafasi ni mbili tuSisi Yanga tunauliza hii nafasi ya pili inatupeleka CAF Champions 2020/2021 kwenye zile nafasi 4 tulizotafutiwa na Simba?
Wacha we!,hahaaaaAzam kamwe msimpange Abubakar Salum, a.k.a, Sureboy kwenye mechi yenu dhidi ya Yanga fc.
Huyo mchezaji ni kama All Ally wa KMC, au Mrisho Ngasa.
Ni Yanga lialia na lazima acheze chini ya kiwango akicheza dhidi ya Yanga fc.
Hahah Azam na Simba ni ndugu moja baba moja na mama moja.Ndiwoo ndiwooo
Tupo na Azam ndg zetu hawa
Ewaaaaa jiraniHahah Azam na Simba ni ndugu moja baba moja na mama moja.
Nadhan watakuwa na madeni ya faini Hawa majamaa....Wanatembeza bakuli...mwisho zinaenda TFF
Zahera kawashika ile mbaya[emoji23][emoji23][emoji23]
Endelea kuota ndoto za mazombie tuyanga bingwa yanga bingwa anaebisha aje kwa hoja mikia hamna kombe mwaka huu...yanga hii na wachezaji hawahawa tunakwenda kuchukua ubingwa huu huu wa TPL kama mzaha vile tukiwa tumewaacha mikia wamesimamisha mikia wamenuna nuu