Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
Wachezaji leo wamekula? maana nasikia juzi hawakufanya mazoezi sababu ya njaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajitoa akiliAnajifurahisha naye aonekane yumo..Lakini anafahamu bingwa ni Simba SC
kweli mbumbumbu fc mashabiki wake mambumbumbu na mazwazwa kabisa yani hiyo ndio hoja ulokuja nayo kupinga ubingwa wa yanga tukutane mwisho wa msimu.....kila la kheri yanga hakika wanaweza licha ya hali ngumu lakini wanatishaaaaa ile mbayaaaa je wakipata pesaa si ndiyo watazidi wazuzua na kuwawewesa mikia fc yani ni kama vita vile yanga wanasilaha za virungu mkononi alaf simba wana smg lakini bado simba wanahema nje nje ndimi zote zaelea nje kama taiEndelea kuota ndoto za mazombie tu
[emoji23] [emoji23] wazee wa kuconect dots yaani Simba akishinda wanasema ananunua mechi wao wamefungwa na Simba na wameruka mlango hawakusema wamelipwa bei gani ila Tafadhali tu kesho wasiruke ukutaAzam apige mtu iyo kesho... Ili tuseme Ajibu alikwenda ofisini kwa Bakresa kupitia mlango wa nyuma.
NYUMA MWIKO.
Wachezaji wapi?? Hawa ambao mwl wao anawaanika hadharani anawasaidia maisha, wachezaji hawa hawa ambao kufanya kazi yao ambayo ndo ajira hadi waje wahamasishwe, labda mshinde kombe la chaiyanga bingwa yanga bingwa anaebisha aje kwa hoja mikia hamna kombe mwaka huu...yanga hii na wachezaji hawahawa tunakwenda kuchukua ubingwa huu huu wa TPL kama mzaha vile tukiwa tumewaacha mikia wamesimamisha mikia wamenuna nuu
Utakuwa nje ya nchi wewe... kwamba Simba inaweweseka!??kweli mbumbumbu fc mashabiki wake mambumbumbu na mazwazwa kabisa yani hiyo ndio hoja ulokuja nayo kupinga ubingwa wa yanga tukutane mwisho wa msimu.....kila la kheri yanga hakika wanaweza licha ya hali ngumu lakini wanatishaaaaa ile mbayaaaa je wakipata pesaa si ndiyo watazidi wazuzua na kuwawewesa mikia fc yani ni kama vita vile yanga wanasilaha za virungu mkononi alaf simba wana smg lakini bado simba wanahema nje nje ndimi zote zaelea nje kama tai
Bado point 5 tukae juu.. na tuna mechi 5 mkononi.yanga bingwa yanga bingwa anaebisha aje kwa hoja mikia hamna kombe mwaka huu...yanga hii na wachezaji hawahawa tunakwenda kuchukua ubingwa huu huu wa TPL kama mzaha vile tukiwa tumewaacha mikia wamesimamisha mikia wamenuna nuu
ni kwamba hizo mechi 5 unazosema bado ujacheza inamaana hujui hatima yake lakini yanga kashacheza na anajua hatima yake nadhani huujui mpira vizuri wewe kujihakikishia ushindi bado kabisaa mna mechi 7 tena unasemaje unashinda kiwepesi hivyo na ukiangalia yanga kafungwa 4 na anasare 5 na kabakiwa na michezo 7 lakini simba kafungwa 2 na ana sare 3 kabakiwa na michezo 12 je wapaonaje hapo ni kwamba si simba wala yanga anahakika wakuchukua ubingwa kwa 100%Bado point 5 tukae juu.. na tuna mechi 5 mkononi.
Wewe utakuwa mgombea wa uchaguzi Yanga... kampeni yako inadanganya wapiga kura wale chura churani.
Mkuu Yanga amebakiza mechi 6 sio 7.. amecheza game 32 ana point 74.ni kwamba hizo mechi 5 unazosema bado ujacheza inamaana hujui hatima yake lakini yanga kashacheza na anajua hatima yake nadhani huujui mpira vizuri wewe kujihakikishia ushindi bado kabisaa mna mechi 7 tena unasemaje unashinda kiwepesi hivyo na ukiangalia yanga kafungwa 4 na anasare 5 na kabakiwa na michezo 7 lakini simba kafungwa 2 na ana sare 3 kabakiwa na michezo 12 je wapaonaje hapo ni kwamba si simba wala yanga anahakika wakuchukua ubingwa kwa 100%
Huyo lazima akukimbie kwa darasa huru ulilompa..! Eti anasema hakuna mwenye uhakika na ubingwa, anadhani Simba ni kama Mbute Mbute [emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu Yanga amebakiza mechi 6 sio 7.. amecheza game 32 ana point 74.
Simba ana point 69, Amecheza mechi 27, ana game 11 Mkononi.
Game 5 za Kiporo Tukishinda mechi 2 tunakuwa na point 75, Yanga 74.
Kwa ufupi kati ya mechi zetu 11 ZILIZOBAKI Tunatakiwa kushinda mechi 8 tu... Sawa na point 24
8X3=24
24+69=93
YANGA Akishinda zote 6 alizobakiza ambazo ni sawa na point 18.
6X3=18
18+74=92.. Kadri mnavyopoteza ndio mnatupunguzia kazi sisi MSIMBAZI.
Ngoja tuanze na Azam kesho atulegezee kazi
sawa mimi nasubiri kuona nini kinakwenda kutokeaMkuu Yanga amebakiza mechi 6 sio 7.. amecheza game 32 ana point 74.
Simba ana point 69, Amecheza mechi 27, ana game 11 Mkononi.
Game 5 za Kiporo Tukishinda mechi 2 tunakuwa na point 75, Yanga 74.
Kwa ufupi kati ya mechi zetu 11 ZILIZOBAKI Tunatakiwa kushinda mechi 8 tu... Sawa na point 24
8X3=24
24+69=93
YANGA Akishinda zote 6 alizobakiza ambazo ni sawa na point 18.
6X3=18
18+74=92.. Kadri mnavyopoteza ndio mnatupunguzia kazi sisi MSIMBAZI.
Ngoja tuanze na Azam kesho atulegezee kazi
Yanga ana mechi 1 ya mkoani dhidi ya Biashara,.. mechi 5 anacheza taifa.Simba tuna uhakika wa kuchukua ubingwa wa ligi ya TPL na hatuna ushirika na timu nyingine.
Pambaneni na hali zenu.
Wanaibeza timu iliyofika robo fainal CAF CL...Huyo lazima akukimbie kwa darasa huru ulilompa..! Eti anasema hakuna mwenye uhakika na ubingwa, anadhani Simba ni kama Mbute Mbute [emoji23][emoji23][emoji23]
wewe timu inawaachia John boko, kapombe, manula na Nyoni hiyo akili au matopeAzam nayo sijui uwa inafail wapi timu ina kila kitu ila uwanjani sifuri kabisa.
Ili muendelee kuota ndoto ya ubingwa inabidi mshinde game zote 2 dhidi ya Azam na ile ya Musoma kwa Biashara.sawa mimi nasubiri kuona nini kinakwenda kutokea