Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Kuelekea mchezo wa Tanzania Premier League TPL, kati ya Stand United dhidi ya Simba SC Uwanja wa Kambarage mkoani Shinyanga, Stand United chagueni wenyewe mnataka mfungwe mabao mangapi?
•••Kulipewa Mwana..Kulitaka Mwana SSC
Kwa jinsi hali ilivyo hivi sasa hapa nchini Tanzania katika duru hili la mwisho la ligi kuu, kwa timu zote zinazopambana na Simba SC, ni dhahiri hakuna hata timu itakayofua dafu kwa kuchukua alama kutoka kwa Simba SC, isipokuwa watapigania kupunguza idadi ya mabao ya kufungwa.
•••Show ya Hatari Pamoja na Burudani SSC
Yanga SC walichagua upasuaji mmoja, lakini hizi timu zingine za Azam FC, Lyon na Lipuli FC naona upasuaji wa mara tatu tatu umetamalaki kwao.
•••Soka la Kiwango kilichothibitishwa na CAF
Kukutana na kikosi hiki cha Mnyama Simba SC ni hatari kwa usalama wa timu pinzani..Ni kikosi cha mafundi kweli kweli huku uwezo wa kila mchezaji mmoja mmoja ukichukua nafasi kunako kikosi hicho cha Wekundu wa Msimbazi.
Kocha wa Stand Utd Athuman Bilal ameongea mengi kuelekea mchezo utakaovurumisha uwanja wa Kambarage Stadium, siku ya Jumapili Machi 3, 2019 lakini tunamwambia ajiandae Kisaikolojia, kwani tayari barua ya kustaafishwa imeandaliwa...This Is Simba SC. NguvuMoja.
•••Kulipewa Mwana..Kulitaka Mwana SSC
Kwa jinsi hali ilivyo hivi sasa hapa nchini Tanzania katika duru hili la mwisho la ligi kuu, kwa timu zote zinazopambana na Simba SC, ni dhahiri hakuna hata timu itakayofua dafu kwa kuchukua alama kutoka kwa Simba SC, isipokuwa watapigania kupunguza idadi ya mabao ya kufungwa.
•••Show ya Hatari Pamoja na Burudani SSC
Yanga SC walichagua upasuaji mmoja, lakini hizi timu zingine za Azam FC, Lyon na Lipuli FC naona upasuaji wa mara tatu tatu umetamalaki kwao.
•••Soka la Kiwango kilichothibitishwa na CAF
Kukutana na kikosi hiki cha Mnyama Simba SC ni hatari kwa usalama wa timu pinzani..Ni kikosi cha mafundi kweli kweli huku uwezo wa kila mchezaji mmoja mmoja ukichukua nafasi kunako kikosi hicho cha Wekundu wa Msimbazi.
Kocha wa Stand Utd Athuman Bilal ameongea mengi kuelekea mchezo utakaovurumisha uwanja wa Kambarage Stadium, siku ya Jumapili Machi 3, 2019 lakini tunamwambia ajiandae Kisaikolojia, kwani tayari barua ya kustaafishwa imeandaliwa...This Is Simba SC. NguvuMoja.