Kuelekea mechi ya VPL' Simba SC dhidi ya Mtibwa Sugar, Safari ya Ubingwa Inaendelea

Tatizo zile mechi hazijawahi kutabirika Sesten. Usije taka zimia tu kwa kutoamini yatakayotokea.
Mpira ni sayansi siku hizi mpenzi, wa kufa anajulikana mapema hakuna cha bahati wala nini kwahiyo safari hii mnaelekea kibla tu mapemaaa
 
Hizi kauli tulishazizowea sisi Wakimataifa. Teh teh teh.

Hamna cha aibu wala nini kama nyie tu hamjaiona aibu ile iweje sisi iwe aibu Ses.
Sisi hatukutolewa kindezi Shadeeya tulikufa kiume( ukija ntakwambia maana ya kufa kiume😍)

Nyie nakumbuka kuna mwaka mlichezea kichapo hapo taifa kutoka kwa Makhirikhiri
 
Mpira ni sayansi siku hizi mpenzi, wa kufa anajulikana mapema hakuna cha bahati wala nini kwahiyo safari hii mnaelekea kibla tu mapemaaa
Hahahaaa! Bakia hapo hapo love mwisho wa siku nyie ndio munaelekezwa kibla.

Enheeee!!! Hivyo leo munashinda ngapi kwa Ntibwa?
 
Amakweli hutupendi hata kidogo Lunyasi, unatutabiria tutaisha kwa Mtibwa! Vijana wetu wale tumewalia tunawajua vizuri wala hawatatusumbua
Yaani Ses na zile wenge za kutolewa Champions league si ajabu hata mkasuluhu. 😎😎😎😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…