Tetesi: Kuelekea Mkutano Mkuu wa CCM: Mbunge, Wajumbe na Katibu wa Mikoa wa Upinzani kujiunga CCM

Tetesi: Kuelekea Mkutano Mkuu wa CCM: Mbunge, Wajumbe na Katibu wa Mikoa wa Upinzani kujiunga CCM

Nini tena? Isije kuwa bwana Ngoyai atarudi CCM hiyo kesho?
 
Kesho ni kesho asemaye keshokutwa mwongo.Kesho ni siku itakayowaliza CHADEMA wengi kwa kutoamini wanachokiona na kukisikia.Ni siku ambayo Siasa za nchi hii zitabadilika kabisa.CHADEMA kitajikuta kama wakiwa katika siasa za Tanzania.Ni siku maalumu ya kuanza mitafaruku ndani ya CHADEMA itakayokisambaratisha CHADEMA na kuiweka CHADEMA kwenye Dustbin la siasa
Kumbe na wewe ukivimbiwaga unapoteza koki no end break....haya kakojoe ulale sasa na usidai hata nyongeza ya buku2/7.
 
Kesho ni kesho asemaye keshokutwa mwongo.Kesho ni siku itakayowaliza CHADEMA wengi kwa kutoamini wanachokiona na kukisikia.Ni siku ambayo Siasa za nchi hii zitabadilika kabisa.CHADEMA kitajikuta kama wakiwa katika siasa za Tanzania.Ni siku maalumu ya kuanza mitafaruku ndani ya CHADEMA itakayokisambaratisha CHADEMA na kuiweka CHADEMA kwenye Dustbin la siasa
ramli chonganishi zimepigwa marufuku na serikali!
 
Hivi ni CHADEMA ndiyo inayoifanya CCM iwe dhaifu na kushindwa kufikia malengo yake??
 
Woga kama wa kunguru! wewe chama chako kinafanya uchaguzi wa mwenyekiti (shughuli muhimu kabisa) lakini unakosa usingizi kufikiri yatakayotokea kwa wapinzani wako!
 
Kesho ni kesho asemaye keshokutwa mwongo.Kesho ni siku itakayowaliza CHADEMA wengi kwa kutoamini wanachokiona na kukisikia.Ni siku ambayo Siasa za nchi hii zitabadilika kabisa.CHADEMA kitajikuta kama wakiwa katika siasa za Tanzania.Ni siku maalumu ya kuanza mitafaruku ndani ya CHADEMA itakayokisambaratisha CHADEMA na kuiweka CHADEMA kwenye Dustbin la siasa





Jambo pekee wanaloweza kulifanya ccm na ambalo si geni kwa siasa za Tanzania ni matumizi ya fedha kuwarubuni na kuwanunua wapinzani uchwara ili kuuhadaa Umma wa Watanzania eti wanamuunga mkono na kumkubali mwenyekiti wa ccm.Hizo ni siasa nyepesi ambazo hazitaweza kulisaidia Taifa kutoka kwenye mkwamo tulionao.


Taifa hili halihitaji siasa chafu za aina hiyo,linahitaji mipango thabiti yenye lengo la kulikwamua toka kwenye utegemezi,leo hii hadi wale waliojiapiza kutohitaji msaada toka kwa yeyote,sasa wamesalimu amri na kuyaangukia mabilioni ya Uchina.Kiko wapi kiburi chao cha awali? Wapo wapi waumini wa #dini mpya ya #HapaKaziTu?Wafuasi wa "mtakatifu" hawawezi kuwa na lolote la maana kwa Taifa letu zaidi ya kujipendekeza ili wapate mlo wao.

Ni upumbavu wa kiwango cha juu sana kusema CHADEMA hawataamini yatakayotokea,kwani CHADEMA ni wakina nani? Ni wakimbizi waliokimbilia nchini au ni Watanzania wanaopigania ustawi wa Taifa lao?CCM unayoishabikia leo ndiyo hiyo hiyo iliyolitawala Taifa hili na kulifikisha hapa lilipo,leo hii wamekuja na muujiza gani hadi ujitoe ufahamu kiasi hicho?
 
CCM ni kiroja kweli, mfano wakiamua kumfukuza Nape kwa usaliti dhidi ya Magu watakuambia tumewakomesha Chadema. Sasa hapo kuna akili kweli?
 
Kesho ni kesho asemaye keshokutwa mwongo.Kesho ni siku itakayowaliza CHADEMA wengi kwa kutoamini wanachokiona na kukisikia.Ni siku ambayo Siasa za nchi hii zitabadilika kabisa.CHADEMA kitajikuta kama wakiwa katika siasa za Tanzania.Ni siku maalumu ya kuanza mitafaruku ndani ya CHADEMA itakayokisambaratisha CHADEMA na kuiweka CHADEMA kwenye Dustbin la siasa
Badala ya kuhangaika kutaka kuiua CDM mngehangaika kutupa maisha bora kwa kila mwananchi. Cdm hata ikifa inatakiwa ujue kuwa zaidi ya nusu ya waTz hawaipendi ccm, kwahiyo watahamia kokote mradi waipinge CCM
 
Baada ya baadhi ya watu kukumbwa na wimbi la uchaguzi wa mwaka jana 2015, kesho kuna mamia ya makada walioondoka CCM wanarejea tena. Katika kundi hilo wapo Msindai, Lembeli, Nzungu, Mwapachu, na zaidi vijana 260 walioondoka na Lowassa wanarejea rasmi...

Katika kundi hilo la vijana wapo waliokuwa wenyeviti wa UVCCM, wapo pia vijana maarufu wa kwenye mitandao.
 
Hayatuhusu, hayo ni mazingaombwe yenu mtajuana huko huko wafu zikaneni wafu kwa wafu.
 
Likes 1000
Jambo pekee wanaloweza kulifanya ccm na ambalo si geni kwa siasa za Tanzania ni matumizi ya fedha kuwarubuni na kuwanunua wapinzani uchwara ili kuuhadaa Umma wa Watanzania eti wanamuunga mkono na kumkubali mwenyekiti wa ccm.Hizo ni siasa nyepesi ambazo hazitaweza kulisaidia Taifa kutoka kwenye mkwamo tulionao.


Taifa hili halihitaji siasa chafu za aina hiyo,linahitaji mipango thabiti yenye lengo la kulikwamua toka kwenye utegemezi,leo hii hadi wale waliojiapiza kutohitaji msaada toka kwa yeyote,sasa wamesalimu amri na kuyaangukia mabilioni ya Uchina.Kiko wapi kiburi chao cha awali? Wapo wapi waumini wa #dini mpya ya #HapaKaziTu?Wafuasi wa "mtakatifu" hawawezi kuwa na lolote la maana kwa Taifa letu zaidi ya kujipendekeza ili wapate mlo wao.

Ni upumbavu wa kiwango cha juu sana kusema CHADEMA hawataamini yatakayotokea,kwani CHADEMA ni wakina nani? Ni wakimbizi waliokimbilia nchini au ni Watanzania wanaopigania ustawi wa Taifa lao?CCM unayoishabikia leo ndiyo hiyo hiyo iliyolitawala Taifa hili na kulifikisha hapa lilipo,leo hii wamekuja na muujiza gani hadi ujitoe ufahamu kiasi hicho?
S
 
Huu utoto haujawahi kuisha? Kuwahadaa watanzania kuwa CCM ni bora bado?
 
Mbona utabiri wa aina hiyo ya kukitabiria kifo Chadema, alichautoa 'baba' yako Wassira miaka 5 iliyopita, tena huyo mzee alituhakikishia watanzania kuwa Chadema haitafika mwaka 2015 tutakuwa tumeshakizika hiko chama?

Sasa badala yake badala ya kufa Chadema imekuwa vice versa, kwa kuwa ni yeye Wassira ambaye 'amekufa' kisiasa..........

Kwa hiyo utabiri wako si mpya na unafanana na dua la kuku................

Na badala ya hiko chama kufa badala yake ndiyo kinazidi kuwa stronger and stronger hadi kusababisha vyombo vyote vya dola vikose usingizi, kutafuta mikakati ya kuidhibiti Chadema.........
Nampenda sana Wassira. Kwa hisani ya huyu mzee na mahakama kuu kanda ya Mara, tutasikia sauti za wapinzani jukwaani hivi karibuni
 
Kuelekea Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) unaotarajia kufanyika tarehe 23th July 2016 mjini Dodoma, tayari zipo taarifa za kuaminika juu ya Viongozi wakubwa wa Vyama vya Upinzani kuazimia kujiunga na CCM katika siku hiyo.

Taarifa iliyotufikia inamtaja Mbunge mmoja maarufu wa CHADEMA ambae mpaka jana alikuwa anamaliza mazungumzo ya mwisho na viongozi waandamizi wa CCM juu ya utaratibu wa mapokezi yake na hatma yake kisiasa.

Wengine ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Pia yupo Mgombea Uenyekiti wa BAVICHA na mgombea Ubunge wa Moja ya Majimbo ya Kaskazini. Pamoja nao yupo aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, pamoja na Makatibu kadhaa wa Mikoa wa Chama cha ACT.

Ukiachilia mbali Viongozi hao wa wapinzani ambao idadi yao kwa ujumla inakaribia 18, wapo waliokuwa wa CCM na wakahama na kumfuata LOWASSA upinzani, Viongozi hao nao wameendelea kubembeleza ili waweze kupokelewa tena ndani ya CCM. Watatu kati yao tayari wako Dodoma wakiongozwa na aliyekuwa "Mtoto na Msiri" wa Lowassa ambae pia alikuwa ni KATIBU wa CCM Wilaya ya Monduli.

Wakati Viongozi hao wakijiandaa kujiunga na CCM, maandalizi ya Mkutano Mkuu yameendelea kukamilika na kufikia hatua nzuri, ambapo jana Katibu Mkuu wa CCM alikagua hatua ya maandalizi na kujiridhisha kuwa Mkutano Mkuu utakuwa wa mafanikio makubwa kutokana na kukamilika kwa maandalizi ya Mkutano huo kwa sehemu kubwa.

Mkuu TandaleOne

Amani iwe nawe na Pole kwa Majukumu Mazito uliyotwishwa.

Nakumbuka ulishawahi kusema kuwa umeachana na all Social Media ukiacha Twira ? Mbona tena JF ?????
Hii Taarifa ungeipeleka Kule Twira ambako identity yako haiko withheld ingekuwa na Mashiko sana.
 
Back
Top Bottom