Your Majesty
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 3,242
- 5,345
Nakuona nakuona Sapta. Mechi ya Watani imekuibua.
[emoji23][emoji23][emoji23] kipindi kile cha Khamsa Khamsa hukuonekana kabisa hizi maeneo [emoji23][emoji23][emoji23]
Naomba nichagulie basi Mtani. [emoji12][emoji12]
Walikua wanashangilia hamsa hamsa...Sasa imefika zamu yao wanaanza kulia Nuhu awafungulie Safina.
Hahahaaa. Haya bana pole kwa kubanwa.Hamna mtani siyo kwamba zile khamsa ndo zilinikimbiza bali nilibanwa na mambo flani flani, ila umejiandaaje na hizo khamsa siku ya jumamosi [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunakupongeza sana mkuu Shadeeya kwa kuwawalisha vema WanaYanga kwa kuwa baadhi yao wanaogopa mno kutia neno kuelekea hii Derby ya Kariakoo[emoji23][emoji3]Nakuona nakuona Sapta. Mechi ya Watani imekuibua.
[emoji23][emoji23][emoji23] kipindi kile cha Khamsa Khamsa hukuonekana kabisa hizi maeneo [emoji23][emoji23][emoji23]
Naomba nichagulie basi Mtani. [emoji12][emoji12]
Hahahaaa. Haya bana pole kwa kubanwa.
Ila niseme hamna cha khamsa pale Mtani.
Ingekuwa mpira unachezwa kwa formula Timu nyingi zingefungwa hata kabla ya kuingia uwanjani.Hamsa hamna..Ila kwa kuwa Al Ahly kaondoka na 1 amekuachia na msala kubeba mabao 4
Sent using Jamii Forums mobile app
mbona umeanza kuwa muoga mapema sana mamaDOOOH. Wacha yangu yawe macho na masikio tu maana kwenye huu uzi nitayaona mengi hasa kutoka kwa Watani zangu hali ya kuwa hata mpira haujachezwa bado. Teh
Haya Mujitahidi Mujae Uwanjani basi msiishie hapa.
"DAIMA MBELE NYUMA MWIKO"
Shukran Mtani. Itakuwa kwao Network zinasumbua au simu zimekwisha chaji na umeme umekatika sababu sio kawaida yao. Teh teh.Tunakupongeza sana mkuu Shadeeya kwa kuwawalisha vema WanaYanga kwa kuwa baadhi yao wanaogopa mno kutia neno kuelekea hii Derby ya Kariakoo[emoji23][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaa. Najua wajua mechi za Watani wajadi zilivyo na maajabu yake na mfano hai ni ile round ya kwanza.Hamsa hamna..Ila kwa kuwa Al Ahly kaondoka na 1 amekuachia na msala kubeba mabao 4
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa. Uoga upi tena wakati nimetega sikio kuskiza tambo zenu ambazo msipokuwa makini tutazitumia kuwakaanga baada ya mechi.mbona umeanza kuwa muoga mapema sana mama
hawa wenzako ndo wemejiapiza kabisaHahaaa. Uoga upi tena wakati nimetega sikio kuskiza tambo zenu ambazo msipokuwa makini tutazitumia kuwakaanga baada ya mechi.
Kuelekea pambano la kukata na shoka Jumamosi Februari 16, 2019 la watani wa Jadi (Kariakoo Derby) katika mfululizo wa Ligi Kuu ya Tanzania 'TPL' Simba SC Mnyama, Wekundu wa Msimbazi dhidi ya Yanga SC Vijana wa Jangwani, ni kama kusema tayari Yanga ameshafungwa, yaani wamekwishapoteza mchezo huo wa TPL.
Wa kimataifa Original Simba SC Taifa Kubwa
Ni kutokana na ubora wa kikosi cha Simba SC, na thamani yake pamoja na safu hatari ya ushambuliaji ikiongozwa na Streika Matata uwanjani Meddie Kagere MK 14, akiunda Muunganiko wa Emmanuel Okwi, John Bocco na kiungo mshambuliaji ambaye anaudambwi mwingi mpaka anakuwa Kero uwanjani Cleoutus Chota Chama 'Triple C'
Mwana Kulitaka Mwana Kulipewa
Kocha Patrick Aussems baada ya ushindi dhidi ya Al Ahly SC katika Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) amesema umewaongezea morali Vijana wake kabla ya kuwavaa Vijana wa Yanga akiweka wazi mipango ya kumaliza kazi ya kuwasambaratisha watani hao mapema kabisa.
Simba iliitambia Al Ahly ya Misri kwa kuifunga bao 1-0 na kurudia ilichokifanya timu hiyo katika michuano ya CAFCL miaka 33 iliyopita katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Kwa muktadha huo 'ikiwa mwarabu amefungwa basi Vijana wa Jangwani watatepeta kama mate ya mlevi, Simba imechapwa Klabu bora inatakuwa Vijana wa Jangwani bhana' na hasa ukizingatia Septemba 30 ilikuwa tia tia maji mwana ukome kufuata wakubwa. Ushindi ndo lengo letu la kwanza iwe Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) au Tanzania Premier League TPL..
Tukutane National Stadium kwa MCHINA kama unaweza kuzuia kipigo cha kufedhehesha.View attachment 1022213View attachment 1022214View attachment 1022215
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa najiuliza huu mwoko ni wa niniShukran Mtani. Itakuwa kwao Network zinasumbua au simu zimekwisha chaji na umeme umekatika sababu sio kawaida yao. Teh teh.
Nakubali timu yetu mbovu ila kukata tamaa ni mwiko mpaka tone la mwisho Mtani yaani dkk 90 zikishapita ndio nitaamini kwamba mmetufunga.
ππππ hapo tumewaachia nyie Nguvu moja mchague unaowafaa.