Kuelekea Mpambano wa Watani wa Jadi 'TPL' Simba SC dhidi ya Yanga SC, Tayari ameshafungwa

Kuelekea Mpambano wa Watani wa Jadi 'TPL' Simba SC dhidi ya Yanga SC, Tayari ameshafungwa

Hamna mtani siyo kwamba zile khamsa ndo zilinikimbiza bali nilibanwa na mambo flani flani, ila umejiandaaje na hizo khamsa siku ya jumamosi [emoji3]
Nakuona nakuona Sapta. Mechi ya Watani imekuibua.

[emoji23][emoji23][emoji23] kipindi kile cha Khamsa Khamsa hukuonekana kabisa hizi maeneo [emoji23][emoji23][emoji23]

Naomba nichagulie basi Mtani. [emoji12][emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakuona nakuona Sapta. Mechi ya Watani imekuibua.

[emoji23][emoji23][emoji23] kipindi kile cha Khamsa Khamsa hukuonekana kabisa hizi maeneo [emoji23][emoji23][emoji23]

Naomba nichagulie basi Mtani. [emoji12][emoji12]
Tunakupongeza sana mkuu Shadeeya kwa kuwawalisha vema WanaYanga kwa kuwa baadhi yao wanaogopa mno kutia neno kuelekea hii Derby ya Kariakoo[emoji23][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunakupongeza sana mkuu Shadeeya kwa kuwawalisha vema WanaYanga kwa kuwa baadhi yao wanaogopa mno kutia neno kuelekea hii Derby ya Kariakoo[emoji23][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran Mtani. Itakuwa kwao Network zinasumbua au simu zimekwisha chaji na umeme umekatika sababu sio kawaida yao. Teh teh.

Nakubali timu yetu mbovu ila kukata tamaa ni mwiko mpaka tone la mwisho Mtani yaani dkk 90 zikishapita ndio nitaamini kwamba mmetufunga.
 
Yanga lazima wachuchumae tuu
Kuelekea pambano la kukata na shoka Jumamosi Februari 16, 2019 la watani wa Jadi (Kariakoo Derby) katika mfululizo wa Ligi Kuu ya Tanzania 'TPL' Simba SC Mnyama, Wekundu wa Msimbazi dhidi ya Yanga SC Vijana wa Jangwani, ni kama kusema tayari Yanga ameshafungwa, yaani wamekwishapoteza mchezo huo wa TPL.

Wa kimataifa Original Simba SC Taifa Kubwa


Ni kutokana na ubora wa kikosi cha Simba SC, na thamani yake pamoja na safu hatari ya ushambuliaji ikiongozwa na Streika Matata uwanjani Meddie Kagere MK 14, akiunda Muunganiko wa Emmanuel Okwi, John Bocco na kiungo mshambuliaji ambaye anaudambwi mwingi mpaka anakuwa Kero uwanjani Cleoutus Chota Chama 'Triple C'

Mwana Kulitaka Mwana Kulipewa

Kocha Patrick Aussems baada ya ushindi dhidi ya Al Ahly SC katika Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) amesema umewaongezea morali Vijana wake kabla ya kuwavaa Vijana wa Yanga akiweka wazi mipango ya kumaliza kazi ya kuwasambaratisha watani hao mapema kabisa.

Simba iliitambia Al Ahly ya Misri kwa kuifunga bao 1-0 na kurudia ilichokifanya timu hiyo katika michuano ya CAFCL miaka 33 iliyopita katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.

Kwa muktadha huo 'ikiwa mwarabu amefungwa basi Vijana wa Jangwani watatepeta kama mate ya mlevi, Simba imechapwa Klabu bora inatakuwa Vijana wa Jangwani bhana' na hasa ukizingatia Septemba 30 ilikuwa tia tia maji mwana ukome kufuata wakubwa. Ushindi ndo lengo letu la kwanza iwe Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) au Tanzania Premier League TPL..

Tukutane National Stadium kwa MCHINA kama unaweza kuzuia kipigo cha kufedhehesha.View attachment 1022213View attachment 1022214View attachment 1022215

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukran Mtani. Itakuwa kwao Network zinasumbua au simu zimekwisha chaji na umeme umekatika sababu sio kawaida yao. Teh teh.

Nakubali timu yetu mbovu ila kukata tamaa ni mwiko mpaka tone la mwisho Mtani yaani dkk 90 zikishapita ndio nitaamini kwamba mmetufunga.
Huwa najiuliza huu mwoko ni wa nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The waiting is over.. Dar es Salaam Derby

Young African vs Simba Sports Club..

Nawashauri tu mashabiki wote wa Gongowazi FC, Mbute Mbute[emoji196] mjiandae Kisaikolojiaa hapo Kesho..
#TukutaneKwaMchina..
simbasctanzania___Bt1DDRSH6iJ___.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom