OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Baada ya match kuisha msije na visingizio kuwa Yanga wachawi.Zikipungua sana 3
Asitupangie Tutaita Kwa Mchina Kama Kawa..[emoji3] [emoji3]Wenyewe wamekataza kupaita kwa mchina[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Jamaa bado unaendelea kupaita "kwa mchina".Mimi nimeacha kupaita "kwa mchina"[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
kwa mchina ndio wapi?
TUnachezea uwanja wa taifa
MchinaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaUnataka kuiweka JF kwenye matatizo?
mshaambiwa hilo jina halifai