Kuelekea Mpambano wa Watani wa Jadi 'TPL' Simba SC dhidi ya Yanga SC, Tayari ameshafungwa

Mimi ni mnazi wa Simba lakini nimeota jana Mechi itaisha kwa droo ya 1-1

Simba wataanza kufunga alafu Yanga watasawazisha. Mwishoni Simba watapata penalty ambayo bahati mbaya wataipoteza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
vyura hawatabiriki jamani ndugu zangu! USIJE KUONA MPIRA UKAANZIA NJE KAMA SIKU ILE AJIB ALIVYOFANYA
 
common kwa mchina...

Sent using Jamii Forums mobile app

SIMBA HAWATOTAKA DHARU KABISA, WANA WAKATI MGUMU KATIKA LIGI KWA HIYO HAPUUZWI MTU USIJIPE MOYO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…