Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Na unalia segito.Ufanye hima uolewe wewe.Huwa siwaelewi wanaume mnapodhani ndoa ni msaada kwa mwanamke,
Am 50+ no ndoa no mtoto 🏃🏃🏃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na unalia segito.Ufanye hima uolewe wewe.Huwa siwaelewi wanaume mnapodhani ndoa ni msaada kwa mwanamke,
Am 50+ no ndoa no mtoto 🏃🏃🏃
Kwahiyo wahuni wanaweka wanasepa?Huwa siwaelewi wanaume mnapodhani ndoa ni msaada kwa mwanamke,
Am 50+ no ndoa no mtoto 🏃🏃🏃
Miaka 50 huna ndoa huna mtoto , ni kwa mipango yako na mapendeleo na maamuzi yako wewe mwenyewe tangu usichana wako ? au ilitokea tu lakini haikuwa malengo yako kuwa hivyo? Jane Msowoya
🤝Umeandika kihuruma sana
Natania
Kwani kuolewa ni basic need? Mbona mnakuwaga wapumbavu sana nyie??,Nawahurumia hawa wanawake waliozaliwa 1980s na 1990s ambao mpaka leo hawajaolewa coz most of them by mwakani watakua wanahit 35yrs to 40yrs.
Mungu awakumbuke tu katika ukuu wake kwa kweli maana soko lao ndio hivyo tena lishaisha yani wamechuja.
Siyo wote wengine walichumbiwa kwa muda mrefu then wakaachwaSi wanasema ndoa sio lazima hao!
Hizi ni hatua muhimu kwa maisha ya binadamu, wakati mwingine usipozipitia unakuwa kinyume na asili, jamii na hata mbingu zinakushangaa kwa kupoteza muelekeo.Kila kiumbe kina faida yake kwa wakati wake,
Halafu nani alikuambia kila mtu duniani lazima aoe na kuolewa?
Akili ya kipuuzi kabisa,nadhani ungejikita zaidi kuwashauri watu watafute pesa ili kuukimbia umasikini.
Ndio unaipita bila kuonja ndoa, kwa kweli unapitwa na maumivu yake hayapoi.By the way,Dunia tunapita by Samba Mapangala.
Matumizi mabaya ya rasilimali za MunguHuwa siwaelewi wanaume mnapodhani ndoa ni msaada kwa mwanamke,
Am 50+ no ndoa no mtoto 🏃🏃🏃
Matumizi mabaya ya rasilimali za MunguHuwa siwaelewi wanaume mnapodhani ndoa ni msaada kwa mwanamke,
Am 50+ no ndoa no mtoto 🏃🏃🏃
Dah Dah skukuu zmeisha hivyoooUnachotaka kuniomba Sina, inshort Sina Hela Sikukuu
Natafuta mwanamke mwenye sifa kama zako awe rafiki kweli. Hasa hapo 50+ ndo mahitaji yangu.Huwa siwaelewi wanaume mnapodhani ndoa ni msaada kwa mwanamke,
Am 50+ no ndoa no mtoto 🏃🏃🏃
Huwa siwaelewi wanaume mnapodhani ndoa ni msaada kwa mwanamke,
Am 50+ no ndoa no mtoto
Nao wanaelekea kugusa msitari mwekundu(danger zone)By 2025
Wa 2000 kamili-25 Wa 1999-miaka 26, 1998-miaka 27 1997-miak 28, 1998-miaka 29
(hili kundi nalo vipi)
Hahahahaaaaa Wajiue auHao wasahau tu tena wachukuwe maamuzi magumu kama bado hawajapata watoto
Huwa siwaelewi wanaume mnapodhani ndoa ni msaada kwa mwanamke,
Am 50+ no ndoa no mtoto