MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,996
Najua bado uko usingizini! Ukizinduka utajua ninachokiandika au hali halisi itakulazimisha ujue!Kwa Hilo umechelewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua bado uko usingizini! Ukizinduka utajua ninachokiandika au hali halisi itakulazimisha ujue!Kwa Hilo umechelewa.
Tatizo wakuu hum mnajiamisha Sana na neno (hawezi) ,inamaana Bado mna fikra za miaka 30 iliyopita kwamba ushindi kwa chama tawala ni lazima,kitu ambacho kwa Sasa na nyakati hizi ni ngumu kuendelea nafikra Kama hizi.Baada ya Uchaguzi Mkuu tutarudi hapa kuwakumbusha maneno yenu!
Tundu Lissu hawezi kuwa Rais wa Tanzania 2020 labda CCM ya 2025 ambayo kutakuwa hakuna Rais anayetetea kiti chake na igawanyike makundi!
Kwani Katoro ni mjini?Kuwapata hao undecided aende vijijini; siyo kupita mijini tu. Ubaya ni kwa vile huko vijijini, CHADEMA haina infrastructure kabisa. Kwa hiyo hawezi kwenda kwa sababu hakuna wa kutangza ujio wake.
Hakuna mbinu mnayopanga ya kuchakachua matokeo na kuiba kura haitajulikana
Amini amini nakwambia, Tundu Antiphas Lissu anaenda kushinda kwa kishindo kikubwa sana uchaguzi wa mwaka huu!! Watanzania wanaenda kuishangaza dunia mwaka huu. Lissu anashinda na kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020- 2025Kwa mashambulizi haya ya Tundu Lissu kila siku anabomoa ngome ya mpinzani wake kwa matofali kadhaa. Kuna wale CCM damu na Chadema damu, hawa hata iweje kura zao hazibadiliki...
UnaotaBaada ya Uchaguzi Mkuu tutarudi hapa kuwakumbusha maneno yenu!
Tundu Lissu hawezi kuwa Rais wa Tanzania 2020 labda CCM ya 2025 ambayo kutakuwa hakuna Rais anayetetea kiti chake na igawanyike makundi!
Kuwapata hao undecided aende vijijini; siyo kupita mijini tu. Ubaya ni kwa vile huko vijijini, CHADEMA haina infrastructure kabisa. Kwa hiyo hawezi kwenda kwa sababu hakuna wa kutangza ujio wake.
Haijawahi kufika katoro.tulia mnyoleweKwani Katoro ni mjini???
Mkuu Lord! huoni kwamba kwa mkutano wa kampeni mtu anatoa maagizo ya ki-serikali na anatoa muda wa utekelezaji, hii itaweza kutoa ushawishi mkubwa kwa wapiga kura na hivyo kupelekea TAL kutokuwa Rais wa JMT?Amini amini nakwambia, Tundu Antiphas Lissu anaenda kushinda kwa kishindo kikubwa sana uchaguzi wa mwaka huu!! Watanzania wanaenda kuishangaza dunia mwaka huu. Lissu anashinda na kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020- 2025
Sioni namna Magufuli atamshinda Tundu Antiphas Lissu. Nasema tena sioniiii
Hiyo ni Rushwa. Na watanzania pia sio wajinga. Kama hukutoa maelekezo hayo miaka 5 Kwa nini uje utoe kipindi hiki cha kampeni???? Hawawezi kulaghaiwa kwa siasa za kishamba za ccmMkuu Lord! huoni kwamba kwa mkutano wa kampeni mtu anatoa maagizo ya ki-serikali na anatoa muda wa utekelezaji, hii itaweza kutoa ushawishi mkubwa kwa wapiga kura na hivyo kupelekea TAL kutokuwa Rais wa JMT?
Kwa nini asiwe Rais?Sifa anazo na Tume ilimpitisha.Mbona mnatangaza matokei ya kura kabla ya kufanyika uchaguzi?Vyovyote vile utakavyofikiria lakini elewa kuwa Tundu Lissu hawezi kuwa Rais wa Tanzania 2020!
Jaribu kuangalia nyomi la Lissu la kule Kyerwa afu ulete mrejesho.. usikaririKuwapata hao undecided aende vijijini; siyo kupita mijini tu. Ubaya ni kwa vile huko vijijini, CHADEMA haina infrastructure kabisa. Kwa hiyo hawezi kwenda kwa sababu hakuna wa kutangza ujio wake.
Sky, kura za watumishi na wafanya biashara hizo zitajibiwa na kundi la wachimbaji wadogo wadogo walioachiwa mashimo ya wazungu , wachimbaji wadogo wadogo zaidi ya 10ml. Walio tayari Nchi hii ambao wameshajipa utaratibu kuwa siku ya tar 28 oct 2020 hakuna kufanya kazi wte kwenda kupiga kura.Kwa mashambulizi haya ya Tundu Lissu kila siku anabomoa ngome ya mpinzani wake kwa matofali kadhaa. Kuna wale CCM damu na Chadema damu, hawa hata iweje kura zao hazibadiliki...
Sky, kura za watumishi na wafanya biashara hizo zitajibiwa na kundi la wachimbaji wadogo wadogo walioachiwa mashimo ya wazungu , wachimbaji wadogo wadogo zaidi ya 10ml. Walio tayari Nchi hii ambao wameshajipa utaratibu kuwa siku ya tar 28 oct 2020 hakuna kufanya kazi wte kwenda kupiga kura.
Bado kule vijijini wananzengo wanawaita wapinzani (yamageuzi) wanawaona watu wamageuzi km mapolice vile, naile langi yao nyekundu inatafsiliwa kuwa wanataka kumwaga dam, kuna ile nyeusi inatafsiliwa niya msiba wanasema wataleta misiba,
Nikuhakikishie hakuna mwaka mgum kwa uchaguzi kwenye vyama vya upinzani km mwaka huu.
Wakizubaa hawatafikisha wabunge hata 6.
Yaani safari hii chadema watapokea kipigo cha Mbwa mwizi.Hakuna kura zitakazoibiwa bali kipigo kwenye sanduku la kura kitakuwa kama cha mbwa koko!
Huo ndiyo ukweli brother, ni bora Tz iwe kama Libya kuliko kumkabizi nchi Tundu la choo Kama huamnini subiri tarehe 28/10Vyovyote vile utakavyofikiria lakini elewa kuwa Tundu Lissu hawezi kuwa Rais wa Tanzania 2020!