Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,294
- 10,970
Kuelekea tarehe ya uchaguzi mkuu hapo October 28, ratiba ya Rais Magufuli inaonyesha atamalizia kampeni zake mikoa ya Arusha, Manyara, Kilimanjaro na Tanga ambako taarifa hizi zimezua gumzo kubwa mtaani kila kijiwe wananchi wanajadili ujio wa Magufuli na jinsi watakavyompokea kwa kishindo.
Tangu mwaka 2015 Rais Magufuli amewafanyia makubwa watu wa Kaskazini ikiwemo kufufua reli yao, barabara za kimataifa pale Arusha pamoja na kumuibua billionea wa Tanzanite bwana Laizer.
Kwa jinsi gumzo la Magufuli lilivyo huku mtaani utafikiri CHADEMA haijawahi kuwepo kabisa kanda hii!!
Ama kweli kasi ya Magufuli itaenda na wengi, kwa heri Lema Arusha kwaheri CHADEMA kanda ya Kaskazini na karibu CCM mpya yenye kujali wanyonge.
Pole sana Mbowe baada ya kuangushwa na konyangi sasa chama chako kinaenda kuangushwa na kufutwa kabisa Kaskazini na mtumishi wa wanyonge Rais Magufuli.
Tangu mwaka 2015 Rais Magufuli amewafanyia makubwa watu wa Kaskazini ikiwemo kufufua reli yao, barabara za kimataifa pale Arusha pamoja na kumuibua billionea wa Tanzanite bwana Laizer.
Kwa jinsi gumzo la Magufuli lilivyo huku mtaani utafikiri CHADEMA haijawahi kuwepo kabisa kanda hii!!
Ama kweli kasi ya Magufuli itaenda na wengi, kwa heri Lema Arusha kwaheri CHADEMA kanda ya Kaskazini na karibu CCM mpya yenye kujali wanyonge.
Pole sana Mbowe baada ya kuangushwa na konyangi sasa chama chako kinaenda kuangushwa na kufutwa kabisa Kaskazini na mtumishi wa wanyonge Rais Magufuli.